< Isaya 38 >
1 Katika siku hizo Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”
Ie amy andro rezay, natindry fa heta’e t’Iekizkia; le nimb’ama’e mb’eo t’Iesaià ana’ i Amotse, nanao ty hoe: Hoe t’Iehovà: Hajario ty anjomba’o fa toe hivetrake, tsy ho veloñe.
2 Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana:
Nampitolihe’ Iekizkia mb’ an-drindriñe ty lahara’e vaho nihalaly am’ Iehovà,
3 “Ee Bwana, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.
ty hoe: Mihalaly ama’o, ry Iehovà, tiahio henaneo ty fandenàko añatrefa’o an-kavantañañe naho an-kaliforan-troke, vaho nanao ze mahity am-pahaoniña’o; aa ie nangololoike ty rovetse,
4 Ndipo neno la Bwana likamjia Isaya, kusema:
nivotrak’ am’ Iesaià ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe:
5 “Nenda ukamwambie Hezekia, ‘Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako. Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako.
Akia saontsio am’ Iekizkia ty hoe: Hoe t’Iehovà, Andrianañaharen-drae’o Davide. Fa jinanjiko i halali’oy, nitreako o ranom-pihaino’oo; ingo ho tovoñako taoñe folo lim’ amby o andro’oo.
6 Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu.
Ho hahako am-pitàm-panjaka’ i Asore irehe naho ty rova toy vaho harovako ty rova toy;
7 “‘Hii ndiyo ishara ya Bwana kwako ya kwamba Bwana atafanya kile alichoahidi:
le zao ty ho viloñe ama’o boak’am’ Iehovà, te ho henefa’ Iehovà i raha tsinara’ey:
8 Nitafanya kivuli cha jua kwenye ngazi iliyojengwa na Ahazi kirudi nyuma madaraja kumi.’” Hivyo jua likarudi nyuma madaraja kumi ambayo lilikuwa limeshuka.
Heheke te hampibaliheko soritse folo amo soritse fa nilia’eo ty talinjom-panondro-andro’ i Akhaze. Aa le nibalik’ amy soritse folo fa nomba’ey i àndroy.
9 Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:
Inao ty sinoki’ Iekizkia mpanjaka’ Iehodà, t’ie natindry an-tihy vaho nijangañe amy arete’ey.
10 Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol )
Hoe iraho: Ami’ty tsipinde-mena’ o androkoo ty ijoñako an-dalambein-tsikeokeoke eo; kinalañ’ amako o andro tsy nirikoo. (Sheol )
11 Nilisema, “Sitamwona tena Bwana, Bwana katika nchi ya walio hai, wala sitamtazama tena mwanadamu, wala kuwa na wale ambao sasa wanakaa katika ulimwengu huu.
Hoe iraho: tsy ho treako t’Ià, Eka, Ià an-tane’ o veloñeo; tsy ho isako ka t’indaty mindre amo mpimone’ ty tane toio.
12 Kama hema la mchunga mifugo, nyumba yangu imebomolewa na kutwaliwa kutoka kwangu. Kama mfumaji nimevingirisha maisha yangu, naye amenikatilia mbali kutoka kitanda cha mfumi. Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.
Nombotañe vaho nasitake amako hoe kibohom-piarak’ añondry ty kijàko; nahoronkoroñe hoe te asam-panenoñe ty fiaiko: tinampa’e amy tenoñey iraho, handro an-kaleñe ty hamongora’o ty fiaiko.
13 Nilingoja kwa uvumilivu hadi mapambazuko, lakini alivunja mifupa yangu yote kama simba. Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.
Nifeahako pak’ami’ty maraiñe, manahake ty liona, fe mbe nipozapozake iaby o taolakoo, añivo ty handro naho ty haleñe ty nampigadoña’o ahy.
14 Nililia kama mbayuwayu au korongo, niliomboleza kama hua aombolezaye. Macho yangu yalififia nilipotazama mbinguni. Ee Bwana, ninataabika, njoo unisaidie!”
Mikora hoe tivoke naho aliotse iraho; mikò hoe deho; nimokore’ ty fiandrandràko o masokoo. O ry Iehovà, voatindry iraho, Ihe abey ro tsoako.
15 Lakini niseme nini? Amesema nami, naye yeye mwenyewe amelitenda hili. Nitatembea kwa unyenyekevu katika miaka yangu yote kwa sababu ya haya maumivu makali ya nafsi yangu.
Ino ty ho volañeko? Nametse amako re mbore nanoe’e; hiezañe amo hene androkoo iraho, ami’ty hafairam-piaiko.
16 Bwana, kwa mambo kama haya watu huishi, nayo roho yangu hupata uzima katika hayo pia. Uliniponya na kuniacha niishi.
O Talè, irezay o mahajangañe ondatio, mampanintsiñe ty troko irehe; vaho mameloñ’ ahy.
17 Hakika ilikuwa ya faida yangu ndiyo maana nikapata maumivu makali. Katika upendo wako ukaniokoa kutoka shimo la uharibifu; umeziweka dhambi zangu zote nyuma yako.
Tsy nanjo fañanintsin-draho te mone haaferon’ aiko; fe o fikokoa’o ahikoo ro nañaha’o ahy amy kobon-kamodoañey; vaho fonga nahifi’o amboho’o ao o hakeokoo.
18 Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol )
Tsy mahafandrenge Azo ty tsikeokeoke, tsy hañonjoñe azo ty havilasy; tsy mahafitamà ty figahiña’o ty migodañe mb’an-koak’ ao. (Sheol )
19 Walio hai, walio hai: hao wanakusifu, kama ninavyofanya leo. Baba huwaambia watoto wao habari za uaminifu wako.
O veloñeo, o veloñeo, ie ro mandrenge Azoo, manahake ty anoeko henaneo; ampandrendrehen-drae amo keleia’eo ty figahiña’o.
20 Bwana ataniokoa, nasi tutaimba kwa vyombo vya nyuzi siku zote za maisha yetu katika Hekalu la Bwana.
Handrombak’ ahy t’Iehovà; le hititiha’ay ami’ty marovany añ’anjomba’ Iehovà ao o sabokoo, amo hene andro hiveloma’aio.
21 Isaya alikuwa amesema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini, mweke juu ya jipu, naye atapona.”
Fa hoe ty natao’ Iesaià: Ampangalao garaton-tsakoa hapakotse amy honay himeara’e.
22 Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la Bwana?”
Nanao ty hoe ka t’Iekizkia: Ino ty viloñe hampionjoñ’ ahy mb’ añ’ anjomba’ Iehovà mb’eo?