< Mwanzo 46 >

1 Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.
Востав же Израиль сам и вся сущая его, прииде ко кладязю Клятвенному и пожре жертву Богу отца своего Исаака.
2 Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!” Akajibu, “Mimi hapa.”
Рече же Бог ко Израилю в видении нощию, глаголя: Иакове, Иакове. Он же рече: что есть?
3 Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.
Он же рече ему: Аз есмь Бог отцев твоих, не убойся изыти во Египет: в язык бо велий сотворю тя тамо:
4 Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”
и Аз сниду с тобою во Египет, и Аз возведу тя до конца: и Иосиф возложит руки своя на очи твои.
5 Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha.
Воста же Иаков от кладязя Клятвеннаго, и взяша сынове Израиля отца своего, и стяжание, и жены своя на колесницы, яже посла Иосиф, взяти его:
6 Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri.
и вземше имения своя и все стяжание, еже стяжаша в земли Ханаанстей, внидоша во Египет Иаков и все семя его с ним:
7 Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.
сынове и сынове сынов его с ним, дщери и дщери дщерей его, и все семя свое введе во Египет.
8 Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.
Сия же имена сынов Израилевых вшедших во Египет купно со Иаковом отцем своим: Иаков и сынове его: первенец Иаковль Рувим.
9 Wana wa Reubeni ni: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
Сынове же Рувимли: Енох и Фаллос, Асрон и Харми.
10 Wana wa Simeoni ni: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.
Сынове же Симеони: Иемуил и Иамин, и Аод и Ахин, и Саар и Саул, сын Хананитидин.
11 Wana wa Lawi ni: Gershoni, Kohathi na Merari.
Сынове же Левиини: Гирсон, Кааф и Мерарий.
12 Wana wa Yuda ni: Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani). Wana wa Peresi ni: Hesroni na Hamuli.
Сынове же Иудины: Ир и Авнан, и Силом и Фарес и Зара: умроша же Ир и Авнан в земли Ханаани. Быша же сынове Фаресу: Есром и Иемуил.
13 Wana wa Isakari ni: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.
Сынове же Иссахаровы: Фола и Фуа, и Асум и Самвран.
14 Wana wa Zabuloni ni: Seredi, Eloni na Yaleeli.
Сынове же Завулони: Серед и Аллон и Ахоил.
15 Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
Сии сынове Лиини, ихже роди Иакову в Месопотамии Сирстей, и Дину дщерь его: всех душ сынов и дщерей тридесять три.
16 Wana wa Gadi ni: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.
Сынове же Гадовы: Сафон и Ангис, и Саннис и Фасован, и Аидис и Ароидис и Ареилис.
17 Wana wa Asheri ni: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera. Wana wa Beria ni: Heberi na Malkieli.
Сынове же Асировы: Иемна и Ессуа, и Иеул и Вариа, и Сара сестра их. Сынове же Вариины: Ховор и Мелхиил.
18 Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.
Сии сынове Зелфины, юже даде Лаван Лии, дщери своей, яже роди сих Иакову, шестьнадесять душ.
19 Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yosefu na Benyamini.
Сынове же Рахили, жены Иаковли: Иосиф и Вениамин.
20 Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.
Быша же сынове Иосифу в земли Египетстей, ихже роди ему Асенефа, дщи Петефриа жреца Илиопольска, Манассию и Ефрема. Быша же сынове Манассиины, ихже роди ему наложница Сира, Махира. Махир же роди Галаада. Сынове же Ефраима, брата Манассиина: Суталаам и Таам. Сынове же Суталаамли, Едом.
21 Wana wa Benyamini ni: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.
Сынове же Вениамини: Вала и Ховор и Асфил. Быша же сынове Валовы: Гира и Ноеман, и Анхис и Рос, и Мамфим и Офимим. Гира же роди Арада.
22 Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.
Сии сынове Рахилины, ихже роди Иакову, всех душ осмьнадесять.
23 Mwana wa Dani ni: Hushimu.
Сынове же Дановы: Асом.
24 Wana wa Naftali ni: Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.
Сынове же Неффалимли: Асиил и Гони, и Иссаар и Селлим.
25 Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.
Сии сынове Валлины, юже даде Лаван Рахили дщери своей, яже роди сих Иакову: всех душ седмь.
26 Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita.
Всех же душ вшедших со Иаковом во Египет, яже изыдоша из чресл его, кроме жен сынов Иаковлих, всех душ шестьдесят шесть.
27 Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.
Сынове же Иосифовы, иже быша ему в земли Египетстей, душ девять: всех душ дому Иаковля, яже приидоша со Иаковом во Египет, душ седмьдесят пять.
28 Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni,
Иуду же посла пред собою ко Иосифу срести его у Иройска града в земли Рамессийстей.
29 gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.
Впряг же Иосиф колесницы своя, изыде во сретение Израилю, отцу своему, ко Ироону граду: и явився ему, нападе на выю его и плакася плачем великим.
30 Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”
И рече Израиль ко Иосифу: да умру отныне, понеже видех лице твое: еще бо ты еси жив.
31 Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu.
Рече же Иосиф ко братии своей: шед повем фараону и реку ему: братия моя и дом отца моего, иже быша в земли Ханаани, приидоша ко мне:
32 Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’
они же суть мужие пастуси, мужие бо скотопитателие быша: и скоты, и волы, и вся своя приведоша:
33 Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’
аще убо призовет вас фараон и речет вам: что дело ваше есть?
34 Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”
Рцыте: мужие скотопитателие есмы, раби твои, издетска даже до ныне, и мы и отцы наши: да вселитеся в земли Гесем аравийстей: мерзость бо есть Египтяном всяк пастух овчий.

< Mwanzo 46 >