< Esta 6 >
1 Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za matukio ya utawala wake, asomewe.
in/on/with night [the] he/she/it to wander sleep [the] king and to say to/for to come (in): bring [obj] scroll: book [the] memorial word: deed [the] day and to be to call: read out to/for face: before [the] king
2 Kitabu hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na Tereshi, waliokuwa maafisa wawili wa mfalme, walinzi wa lango walivyokuwa wamepanga hila ya kumuua Mfalme Ahasuero.
and to find to write which to tell Mordecai upon Bigthan and Teresh two eunuch [the] king from to keep: guard [the] threshold which to seek to/for to send: reach hand in/on/with king Ahasuerus
3 Mfalme akauliza, “Je, ni heshima na shukrani gani Mordekai alipokea kwa ajili ya jambo hili?” Watumishi wake wakajibu, “Hakuna lolote alilofanyiwa.”
and to say [the] king what? to make: offer preciousness and greatness to/for Mordecai upon this and to say youth [the] king to minister him not to make: do with him word: thing
4 Mfalme akasema, “Ni nani yuko uani?” Wakati huo huo Hamani alikuwa ameingia ua wa nje wa jumba la mfalme kusema na mfalme kuhusu kumwangika Mordekai katika mahali pa kuangikia watu alipokuwa amepajenga kwa ajili yake.
and to say [the] king who? in/on/with court and Haman to come (in): come to/for court house: home [the] king [the] outer to/for to say to/for king to/for to hang [obj] Mordecai upon [the] tree: stake which to establish: prepare to/for him
5 Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
and to say youth [the] king to(wards) him behold Haman to stand: stand in/on/with court and to say [the] king to come (in): come
6 Hamani alipoingia, mfalme alimuuliza, “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu?” Basi Hamani akawaza moyoni mwake, “Ni nani mwingine ambaye mfalme angemheshimu kuliko mimi?”
and to come (in): come Haman and to say to/for him [the] king what? to/for to make: do in/on/with man which [the] king to delight in in/on/with preciousness his and to say Haman in/on/with heart his to/for who? to delight in [the] king to/for to make: do preciousness advantage from me
7 Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
and to say Haman to(wards) [the] king man which [the] king to delight in in/on/with preciousness his
8 aletewe joho la kifalme ambalo mfalme ameshalivaa na farasi ambaye mfalme alishampanda, ambaye amevikwa taji ya kifalme kichwani mwake.
to come (in): bring clothing royalty which to clothe in/on/with him [the] king and horse which to ride upon him [the] king and which to give: put crown royalty in/on/with head his
9 Kisha joho na farasi vikabidhiwe kwa mmojawapo wa wakuu wa mfalme anayeheshimika sana. Nao wamvike mtu yule ambaye mfalme anapenda kumheshimu, na aongozwe akiwa juu ya farasi kupitia barabara za mji, wakitangaza mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu!’”
and to give: give [the] clothing and [the] horse upon hand: to man from ruler [the] king [the] noble and to clothe [obj] [the] man which [the] king to delight in in/on/with preciousness his and to ride him upon [the] horse in/on/with street/plaza [the] city and to call: call out to/for face: before his thus to make: do to/for man which [the] king to delight in in/on/with preciousness his
10 Mfalme akamwamuru Hamani, “Nenda mara moja, chukua joho na farasi na ufanye kama vile ulivyopendekeza kwa Mordekai Myahudi, akaaye langoni mwa mfalme. Usipuuze kufanya kitu chochote ulichoshauri.”
and to say [the] king to/for Haman to hasten to take: take [obj] [the] clothing and [obj] [the] horse like/as as which to speak: speak and to make: do so to/for Mordecai [the] Jew [the] to dwell in/on/with gate [the] king not to fall: fall word: thing from all which to speak: speak
11 Hivyo Hamani akachukua joho na farasi. Akamvika Mordekai, na kumpandisha juu ya farasi akamtembeza katika barabara za mji akitangaza mbele yake, “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme anapenda kumheshimu!”
and to take: take Haman [obj] [the] clothing and [obj] [the] horse and to clothe [obj] Mordecai and to ride him in/on/with street/plaza [the] city and to call: call out to/for face: before his thus to make: do to/for man which [the] king to delight in in/on/with preciousness his
12 Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme. Lakini Hamani akakimbia nyumbani, akiwa amejaa huzuni,
and to return: return Mordecai to(wards) gate [the] king and Haman to hasten to(wards) house: home his mourning and to cover head
13 naye akamweleza Zereshi mkewe pamoja na rafiki zake wote kila kitu ambacho kimempata. Washauri wake pamoja na Zereshi mkewe wakamwambia, “Kwa kuwa Mordekai, ambaye mbele yake umeanza kuanguka ni wa asili ya Kiyahudi, huwezi kushindana naye; kwa hakika utaanguka!”
and to recount Haman to/for Zeresh woman: wife his and to/for all to love: friend him [obj] all which to meet him and to say to/for him wise his and Zeresh woman: wife his if from seed: children [the] Jew Mordecai which to profane/begin: begin to/for to fall: fall to/for face: before his not be able to/for him for to fall: fall to fall: fall to/for face: before his
14 Walipokuwa bado wakizungumza naye, matowashi wa mfalme wakaja na kumharakisha Hamani aende katika karamu aliyoiandaa Esta.
still they to speak: speak with him and eunuch [the] king to touch and to dismay to/for to come (in): bring [obj] Haman to(wards) [the] feast which to make Esther