< Danieli 11 >

1 Nami katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.)
moje potpore i moga okrilja.
2 “Sasa basi, ninakuambia kweli: Wafalme watatu zaidi watatokea Uajemi, kisha atatokea mfalme wa nne, ambaye atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Wakati atakapokuwa amekwisha kujipatia nguvu kwa utajiri wake, atamchochea kila mmoja dhidi ya ufalme wa Uyunani.
A sada ću ti otkriti istinu. Evo: još će tri kralja ustati za Perziju: četvrti će biti bogatiji od svih ostalih, pa kad se zbog svoga bogatstva osili, sve će podići protiv kraljevstva grčkoga.
3 Ndipo mfalme mwenye nguvu atatokea, ambaye atatawala kwa nguvu nyingi na kufanya anavyopenda.
Ustat će junački kralj, vladat će silnom moću i činiti što ga bude volja.
4 Baada ya kujitokeza, milki yake itavunjwa na kugawanyika katika pande nne za mbinguni. Hautakwenda kwa wazao wake, wala hautakuwa na nguvu alizotumia, kwa sababu milki yake itangʼolewa na kupewa wengine.
A čim se ustane, njegovo će se kraljevstvo raspasti i bit će razdijeljeno na četiri vjetra nebeska, ali ne među njegove potomke; i neće više biti tako moćno kao za njegove vladavine, jer će njegovo kraljevstvo biti razoreno i predano drugima, a ne njima.
5 “Mfalme wa Kusini atakuwa na nguvu, lakini mmoja wa majemadari wake atakuwa na nguvu zaidi kuliko mfalme, naye atatawala ufalme wake mwenyewe kwa nguvu nyingi.
Kralj će Juga postati moćan; jedan će od njegovih zapovjednika biti moćniji od njega i zavladat će većom moću nego što je njegova.
6 Baada ya miaka kadha, wataungana. Binti wa mfalme wa Kusini ataolewa kwa mfalme wa Kaskazini ili kuimarisha mapatano, lakini huyo binti nguvu zake hazitadumu; hata mfalme hatadumu wala nguvu zake. Katika siku hizo atafukuzwa, pamoja na hao wasindikizaji wake wa kifalme, watoto wake, na yeyote aliyemuunga mkono.
Nekoliko godina kasnije oni će se udružiti, a kći kralja Juga doći će kralju Sjevera da sklope ugovor. Ali ona tim neće sačuvati snagu svoje mišice i njezino se potomstvo neće održati: bit će predana ona, i njezina pratnja, i njezino dijete, i njezin pomagač u tim vremenima.
7 “Mmoja kutoka jamaa ya huyo binti atainuka na kuchukua nafasi yake. Atashambulia majeshi ya mfalme wa Kaskazini na kuingia katika ngome yake; atapigana dhidi yao naye atashinda.
No jedan će se izdanak njezina korijena podići na njezino mjesto, navalit će na vojsku, prodrijet će u tvrđavu kralja Sjevera, postupati s njima po miloj volji i pobijediti ih.
8 Tena ataitwaa miungu yao, vinyago vyao vya chuma, na vitu vyao vya thamani vya fedha na dhahabu, na kuvichukua hadi Misri. Kwa miaka kadha atamwacha mfalme wa Kaskazini bila kumsumbua.
Pa i njihove bogove, njihove kipove i njihovo dragocjeno suđe, srebrno i zlatno, odnijet će kao plijen u Egipat. Nekoliko godina bit će jači od kralja Sjevera,
9 Kisha mfalme wa Kaskazini atashambulia nchi ya mfalme wa Kusini, lakini atarudi nyuma hadi kwenye nchi yake.
koji će onda prodrijeti u kraljevstvo kralja Juga, odakle će se vratiti u svoju zemlju.
10 Wana wa mfalme wa Kaskazini watajiandaa kwa vita na kukusanya jeshi kubwa, ambalo litafagia nchi kama mafuriko yasiyozuilika na kuendelea na vita hadi kwenye ngome ya mfalme wa Kusini.
Ali će se onda njegovi sinovi naoružati, skupit će silnu vojsku, odlučno će navaliti i poput poplave proći, zatim će se opet zametnuti rat sve do njegove utvrde.
11 “Kisha mfalme wa Kusini atatoka kwa ghadhabu na kupigana dhidi ya mfalme wa Kaskazini, ambaye ataunda jeshi kubwa, lakini litashindwa.
Tada će se kralj Juga razgnjeviti i zavojštiti na kralja Sjevera; podići će silnu vojsku i nadvladati vojsku njegovu.
12 Wakati jeshi litakapokuwa limechukuliwa, mfalme wa Kusini atajawa na kiburi na atachinja maelfu mengi, hata hivyo hatabaki na ushindi.
Mnoštvo će biti uništeno, a on će se zbog toga uzoholiti; pobit će desetke tisuća, ali se neće održati:
13 Kwa maana mfalme wa Kaskazini atakusanya jeshi jingine kubwa kuliko lile la kwanza; na baada ya miaka kadha, atasonga mbele na jeshi kubwa mno lililoandaliwa vizuri.
kralj će Sjevera opet dići vojsku veću nego prije, i poslije nekoliko godina navalit će s velikom, dobro opremljenom vojskom.
14 “Katika nyakati hizo wengi watainuka dhidi ya mfalme wa Kusini. Watu wenye ghasia miongoni mwa watu wako mwenyewe wataasi ili kutimiza maono, lakini bila mafanikio.
U to vrijeme mnogi će se podići protiv kralja Juga; ustat će i nasilnici iz tvog naroda da se ispuni viđenje, ali će propasti.
15 Ndipo mfalme wa Kaskazini atakuja na kuuzunguka mji kwa majeshi, na kuuteka mji wa ngome. Majeshi ya Kusini yatakosa nguvu za kuyazuia; naam, hata vikosi vyao vya askari vilivyo bora zaidi, havitakuwa na nguvu ya kuwakabili.
Doći će kralj Sjevera: podići će nasipe da zauzme jedan utvrđeni grad. Mišice Juga neće odoljeti, pa ni izabrane čete neće imati snage da se odupru.
16 Huyo mvamia nchi atafanya apendavyo; hakuna yeyote atakayeweza kumpinga. Atajiimarisha katika Nchi ya Kupendeza, na atakuwa na uwezo wa kuiangamiza.
Onaj će navaliti protiv njega i učinit će s njime kako mu se prohtije - nitko mu se neće oprijeti: zaustavit će se u Divoti, uništenje je u njegovim rukama.
17 Ataamua kuja na nguvu za ufalme wake wote na kufanya mapatano ya amani na mfalme wa Kusini. Naye atamtoa binti yake aolewe naye ili kuuangusha ufalme, lakini mipango yake haitafanikiwa wala kumsaidia.
Čvrsto odlučivši da se pošto-poto domogne svega njegova kraljevstva, sklopit će s njim ugovor dajući mu jednu kćer za ženu da ga upropasti, ali mu neće uspjeti, neće se to zbiti.
18 Ndipo atabadili nia yake kupigana na nchi za pwani na ataziteka nyingi, lakini jemadari mmoja atakomesha ufidhuli wake na kurudisha ufidhuli wake juu yake.
Zatim će se okrenuti prema otocima i mnoge će osvojiti, ali će jedan zapovjednik dokrajčiti tu sramotu, sramotu mu sramotom vratiti.
19 Baada ya hili atazigeukia ngome za nchi yake mwenyewe, lakini atajikwaa na kuanguka, wala hataonekana tena.
Brže će nagnuti prema utvrdama svoje zemlje, ali će posrnuti, pasti, više ga neće biti.
20 “Atakayetawala baada yake atamtuma mtoza ushuru ili kudumisha fahari ya kifalme. Hata hivyo, baada ya miaka michache ataangamizwa, lakini si katika hasira wala katika vita.
Na njegovo će mjesto doći jedan koji će u diku kraljevstva poslati poreznika, ali će u kratko vrijeme poginuti bez gnjeva i boja.
21 “Atakayetawala baada yake atakuwa mtu wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake wanapojiona wako salama, naye atautwaa kwa hila.
Na njegovo će se mjesto uzdići nitkov kome ne pripada kraljevska čast. Ali on će iznenada doći i spletkama se domoći kraljevstva.
22 Ndipo jeshi kubwa litafagiliwa mbele yake; jeshi pamoja na mkuu mmoja wa agano wataangamizwa.
Pred njim će biti preplavljene i skršene navalne snage i sam knez Saveza.
23 Baada ya kufanya mapatano naye, atatenda kwa udanganyifu, na akitumia watu wachache tu ataingia madarakani.
Unatoč sporazumu s njime, izdajnički će navaliti i svladati ga s malo ljudi.
24 Wakati majimbo yaliyo tajiri sana yanajiona salama, atayavamia, naye atafanikisha kile ambacho baba zake wala babu zake hawakuweza. Atagawa nyara, mateka na utajiri miongoni mwa wafuasi wake. Atafanya hila ya kupindua miji yenye maboma, lakini kwa muda mfupi tu.
Iznenada će upasti u bogate pokrajine i postupat će kako nisu postupali njegovi očevi ni očevi njegovih otaca, rasipajući među svoje plijen, pljačku i bogatstvo, smišljat će osnove protiv tvrdih gradova, ali samo za neko vrijeme.
25 “Pamoja na jeshi kubwa atachochea nguvu zake na ushujaa wake dhidi ya mfalme wa Kusini. Mfalme wa Kusini atafanya vita na jeshi lenye nguvu sana, lakini hataweza kusimama kwa sababu ya kwa hila zilizofanywa dhidi yake.
Pokrenut će, s velikom vojskom, svoju snagu i hrabrost protiv kralja Juga. Kralj Juga krenut će u rat s mnogom i moćnom vojskom, ali neće izdržati, jer će se protiv njega skovati spletke.
26 Wale wanaokula kutoka kwenye ruzuku za mfalme watajaribu kumwangamiza; jeshi lake litafagiliwa mbali, nao wengi watakufa vitani.
I oni koji jeđahu za njegovim stolom skršit će ga: njegova će vojska biti uništena i mnogi će posječeni popadati.
27 Wafalme hawa wawili, mioyo yao ikiwa imekusudia mabaya, wataketi kwenye meza moja na kudanganyana wao kwa wao, lakini pasipo faida, kwa sababu bado mwisho utakuja katika wakati ulioamriwa.
Oba će kralja smišljati zlo; sjedeći za istim stolom, govorit će laži jedan drugome: ali neće uspjeti, jer je svršetak odložen do određenog vremena.
28 Mfalme wa Kaskazini atarudi katika nchi yake na utajiri mwingi, lakini atakuwa ameukaza moyo wake kinyume na agano takatifu. Atachukua hatua dhidi ya hilo agano, kisha atarudi nchi yake.
Vratit će se on u svoju zemlju s velikim blagom; srcem protiv svetoga Saveza, učinit će svoje i vratiti se u svoju zemlju.
29 “Wakati ulioamriwa, atavamia tena Kusini, lakini wakati huu matokeo yake yatakuwa tofauti na yale ya wakati wa kwanza.
U određeno vrijeme opet će krenuti protiv Juga, ali sada neće biti kao prvi put.
30 Meli za nchi ya Kitimu zitampinga, naye atavunjika moyo. Ndipo atarudi nyuma na kutoa wazi hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano takatifu.
Kitimski će brodovi navaliti na njega, i on će se uplašiti. Vratit će se, bjesnjeti protiv svetoga Saveza i opet će se sporazumjeti s onima koji napustiše sveti Savez.
31 “Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili kunajisi ngome ya Hekalu, na kuondolea mbali sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo watalisimamisha chukizo la uharibifu lisababishalo ukiwa.
Čete će njegove doći i oskvrnuti svetište-tvrđu, dokinut' svagdašnju žrtvu i ondje postaviti grozotu pustoši.
32 Kwa udanganyifu atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu wanaomjua Mungu wao watampinga kwa uthabiti.
Svojim će spletkama navesti na otpad one koji se ogrešuju o Savez, ali ljudi koji ljube Boga ostat će postojani i vršit će svoje.
33 “Wenye hekima watawafundisha wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa au kufanywa mateka.
Umnici u narodu poučavat će mnoštvo, ali će ih jedno vrijeme zatirati mačem i ognjem, izgnanstvom i pljačkanjem.
34 Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao.
Dok ih budu zatirali, samo će im nekolicina pomagati, a mnogi će im se pridružiti prijevarno.
35 Baadhi ya wenye hekima watajikwaa, ili waweze kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana bado litakuja kwa wakati ulioamriwa.
Od umnika neki će pasti, da se prokušaju, probrani, čisti do vremena svršetka, jer još nije došlo određeno vrijeme.
36 “Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu, naye atasema mambo ambayo hayajasikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitokee.
Kralj će raditi što god mu se prohtije, uznoseći i uzdižući sebe iznad svih bogova: protiv Boga nad bogovima govorit će hule i uspijevat će dok se gnjev ne navrši - jer ono što je određeno, to će se ispuniti.
37 Hataonyesha heshima kwa miungu ya baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na wanawake, wala hatajali mungu yeyote, bali atajikweza mwenyewe juu yao wote.
Neće mariti za bogove svojih otaca ni za Miljenika ženÄa niti za kojega drugog boga: samog će sebe izdizati iznad sviju.
38 Badala ya kuwajali miungu, ataheshimu mungu wa ngome; mungu ambaye hakujulikana na baba zake ndiye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa.
Mjesto njih častit će boga tvrđava, boga koga nisu poznavali njegovi očevi, častiti ga zlatom i srebrom, dragim kamenjem i drugim dragocjenostima.
39 Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa msaada wa mungu wa kigeni naye atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. Atawafanya watawala juu ya watu wengi, na atagawa nchi kwa gharama.
Navalit će na tvrđave gradova pomoću stranog boga: one koji njega priznaju obasut će počastima i dat će im vlast nad mnoštvom i dijelit će im zemlju za nagradu.
40 “Katika wakati wa mwisho, mfalme wa Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita, askari wapanda farasi, na idadi kubwa ya meli. Atavamia nchi nyingi na kuzikumba nchi hizo kama mafuriko.
U vrijeme svršetka kralj će se Juga zaratiti s njime; kralj će Sjevera navaliti na nj svojim kolima, svojim konjanicima i svojim mnogim brodovima. Provalit će u zemlje i proći njima poput poplave.
41 Pia ataivamia Nchi ya Kupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni wataokolewa kutoka mkono wake.
Prodrijet će u Divotu i mnogi će pasti. Njegovim će rukama izmaći Edom i Moab i glavnina sinova Amonovih.
42 Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi; hata Misri haitaepuka.
Pružit će svoju ruku za zemljama: Egipat mu neće izmaći.
43 Atamiliki hazina za dhahabu, fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha.
On će se domoći zlatnog i srebrnog blaga i svih dragocjenosti Egipta. Pratit će ga Libijci i Etiopljani.
44 Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi.
Ali će ga uznemiriti vijesti s istoka i sa sjevera te će poći vrlo gnjevan da uništi i zatre mnoštvo.
45 Atasimika hema zake za ufalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, wala hakuna yeyote atakayemsaidia.
Postavit će svoje dvorske šatore između mora i Svete gore Divote. Ali će i njemu doći kraj, i nitko mu neće pomoći.

< Danieli 11 >