< 2 Wafalme 11 >
1 Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme.
Ie nirendre’ i Atalià, rene’ i Ahkazià te nivetrake i ana-dahi’ey, le niongake, nanjamañe ze hene tabirim-panjaka.
2 Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, aliyekuwa pia dada yake Ahazia, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala na kumficha humo ili Athalia asimwone; kwa hiyo hakuuawa.
Fe rinambe’ Iehosebae anak’ ampela’ Iorame mpanjaka, rahavave’ i Ahkazià, t’Ioase, ana’ i Ahkazià, naho kinizo’e amo anam-panjaka zinamañeo, vaho naeta’e tsy ho trea’ i Atalià, ie rekets’ i mpiatra’ey, an-trañom-pandreañe ao, le tsy vinono.
3 Alibaki amefichwa pamoja na yaya wake katika Hekalu la Bwana kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
Enen-taoñe t’ie nietake nindre ama’e añ’ anjomba’ Iehovà ao, ie nimpanjàka-ampela’ i taney t’i Atalià.
4 Katika mwaka wa saba, Yehoyada akatumania wakuu wa vikundi vya mamia, na Wakari, na walinzi, nao wakaletwa kwake katika Hekalu la Bwana. Alifanya agano nao na kuwaapisha katika Hekalu la Bwana. Ndipo akawaonyesha mwana wa mfalme.
Aa naho tsatoke i taom-paha-fitoy, le nampihitrike t’Iehoiada, rinambe’e o mpifehe zatoo naho o mpifelekeo naho o mpañambeñeo, naho nampihovae’e añ’ anjomba’ Iehovà naho nifañina’e naho nampifanta’e añ’ anjomba’ Iehovà ao vaho natoro’e iareo i anam-panjakay.
5 Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu mnaoingia zamu siku ya Sabato, theluthi yenu inayolinda jumba la kifalme,
Le linili’e ty hoe: Zao ty hanoe’ areo, ty am-paha-telo’ areo, o himoak’ ao amy Sabataio, ro hañambeñe ty anjomba’ i mpanjakaio—
6 theluthi nyingine Lango la Suri, na theluthi nyingine lango lililo nyuma ya walinzi, ambao hupeana zamu kulinda Hekalu,
le nanoeñe an-dalambei’ i Sore eo ty faharoe’e, naho ty faha-telo’e tan-dalambey amboho’ o mpigaritseo ao—higaritse i anjombay ho mpanebañe.
7 nanyi ambao mko katika makundi mengine mawili ambao kwa kawaida hupumzika Sabato, wote mtalinda Hekalu kwa ajili ya mfalme.
Le ty ila’e roe amo hiavotse amy Sabotsey iabio ty hañambeñe i anjomba’ Iehovày hañaro i mpanjakay.
8 Jipangeni kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha yake mkononi. Yeyote anayesogelea safu zenu lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”
Hañarikatoke i mpanjakay nahareo, songa amam-pialiañe am-pità’e, le zevòño ze mimoak’ amy fiariariañey; naho mindreza amy mpanjakay am-piavota’e vaho am-piziliha’e.
9 Wakuu wa vikosi vya mamia wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, nao wakaja kwa kuhani Yehoyada.
Aa le hene nanoe’ o mpifehe zatoo i nandilia’ Iehoiada, mpisoroñey; songa nandrambe ondati’eo, o hizilike amy Sabataio naho o hiavotse boak’ao amy Sabotseio vaho niheo am’ Iehoiadà mpisoroñe mb’eo.
10 Ndipo akawapa wale wakuu mikuki na ngao zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Bwana.
Le natolo’ i mpisoroñey amo mpifehe-zatoo o lefoñe naho fikala’ i Davideo, o tañ’ anjomba’ Iehovào.
11 Wale walinzi, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, wakajipanga kumzunguka mfalme, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.
Aa le songa nijohañe eo o mpañambeñeo reke-pialiañe am-pità’e, boak’ ankavia’ i anjombay pak’ ankavana’ i anjombay, niari’ i kitreliy naho i kivohoy, nañarikatoke i mpanjakay.
12 Yehoyada akamtoa mwana wa mfalme na kumvika taji, akampa nakala ya agano, na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta, nao watu wakapiga makofi na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”
Nampiavote’e amy zao i anam-panjakay, le naombe’e ama’e i sabakam-panjakay, naho natolots’ aze ty boke Hake, naho nanoe’ iereo mpanjaka, naho noriza’ iareo, vaho niteha-pitàñe nanao ty hoe: Mahaveloñe ry mpanjaka.
13 Athalia aliposikia kelele iliyofanywa na walinzi pamoja na watu, akawaendea watu pale penye Hekalu la Bwana.
Ie jinanji’ i Atalià ty fañenotsatsaha’ o mpañambeñeo naho ondatio, le nimb’ am’ ondaty añ’ anjomba’ Iehovào.
14 Akaangalia, na tazama alikuwako mfalme, akiwa amesimama karibu na nguzo, kama ilivyokuwa desturi. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa pembeni mwa mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wakifurahi na kupiga tarumbeta. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kulia, “Uhaini! Uhaini!”
Naheo’e te intike nijohañe marine’ i fahañey i mpanjakay ty amy lilitsey; le niariseho’ i mpanjakay o mpifeheo naho o mpitan-trompetrao, naho fonga nirebeke ondati’ i taneio vaho nampipopò trompetra. Aa le rinia’ i Atalià o saro’eo, nikoaike ty hoe: Kilily! Kinia!
15 Kuhani Yehoyada akawaagiza majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Hatauawa ndani ya Hekalu la Bwana.”
Le linili’ Iehoiadà mpisoroñe o mpifehe-zatoo, o mpifelek’ i valobohòkeio, ami’ty hoe: Akaro alafe’ o miriritseo vaho lihiro am-pibara ze mañorik’ aze. (Ami’ty saontsi’ i mpisoroñey nanao ty hoe: Ehe t’ie tsy havetrak’ añ’anjomba’ Iehovà.)
16 Basi wakamkamata Athalia, na alipofika mahali ambapo farasi huingilia katika viwanja vya jumba la mfalme, wakamuulia hapo.
Tsinepa’ iareo am-pitàñe le ie pok’ am-pimoahan-tsoavala añ’ anjombam-panjaka, le zinevoñ’ eo re.
17 Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Bwana na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa Bwana. Akafanya pia agano kati ya mfalme na watu.
Le nanao fañina añivo’ Iehovà naho i mpanjakay naho ondatio t’Iehoiadà, t’ie fonga hondati’ Iehovà; vaho añivo’ i mpanjakay naho ondatio.
18 Watu wote wa nchi wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu na sanamu, na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu. Kisha Yehoyada kuhani akawaweka walinzi kwenye Hekalu la Bwana.
Nimb’ añ’ anjomba’ i Baale mb’eo ze hene ondati’ i taney nandrotsake naho nandorodemoke o kitreli’eo naho o sare’eo, vaho zinevo’ iereo t’i Matane mpisoro’ i Baale añatrefa’ o kitrelio. Le nanendre mpifehen’ anjomba’ Iehovà i mpisoroñey.
19 Pamoja naye akawachukua majemadari wa mamia, Wakari, walinzi na watu wote wa nchi, nao kwa pamoja wakamteremsha mfalme kutoka Hekalu la Bwana na kwenda kwenye jumba la mfalme, wakiingilia njia ya lango la walinzi. Ndipo mfalme akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi,
Rinambe’e amy zao o mpifehe-zatoo naho o mpifeleke mpañambeñeo naho ondati’ i taney iabio, le nazotso’ iareo boak’ añ’anjomba’ Iehovà i mpanjakay naho niary mb’ an-dalambeim-pigaritse mb’ añ’ anjomba’ i mpanjakay mb’eo. Le niambesara’e i fiambesam-panjakay.
20 nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia, kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga nyumbani kwa mfalme.
Nirebeke iaby ondati’ i taneio naho nitofa i rovay ie fa zinevo’ iereo am-pibara t’i Atalià añ’ anjombam-panjaka ao.
21 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.
Fito taoñe t’Iehoase te niorotse nifehe.