< 1 Samweli 29 >
1 Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki, nao Waisraeli wakapiga kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.
Filiştinaaşe gırgına cona g'oşun Afeq eyhene şahareeqa saa'a. İzrailybışemee cos zastava İzre'elyne xhyan ı'lqəəne cigaysne giviyxhe.
2 Watawala wa Wafilisti walipokuwa wakipita pamoja na vikosi vyao vya mamia na vya maelfu, Daudi na watu wake walikuwa wakitembea huko nyuma pamoja na Akishi.
Filiştinaaşde g'oşunbışin ç'ak'ınbı vəşna, aazırna g'oşunbışika əlyhəə vuxha. Davudıy cun insanarıb Akişika sacigee yı'q'əle qöö vuxha.
3 Majemadari wa Wafilisti wakauliza, “Vipi kuhusu hawa Waebrania?” Akishi akajibu, “Huyu si Daudi, aliyekuwa afisa wa Sauli mfalme wa Israeli? Ameshakuwa pamoja nami kwa zaidi ya mwaka, naye tangu alipomwacha Sauli hadi sasa, sikuona kosa lolote kwake.”
Filiştinaaşde ç'ak'ınbışe qiyghanan: – İne cühüt'yaaşin inyaa'ad hucoone axu? Akişee manbışis inəxdın alidghıniy qele: – İna İzrailyne paççahna Şaulna nukar Davudur. Mana zasnee eyxhen sa senıle geed vod. Mana Şaulusse hixu zasqa qarıyne yiğıle, zak'le mang'uke pisın kar g'acuyn deş.
4 Lakini majemadari wa Wafilisti wakamkasirikia na kusema, “Mrudishe mtu huyu, apate kurudi mahali pale ulipompangia. Haimpasi kufuatana pamoja nasi vitani, asije akageuka, akawa kinyume chetu vitani. Ni kwa njia ipi bora zaidi angeweza kujipatia tena kibali kwa bwana wake, isipokuwa kwa vichwa vya watu wetu wenyewe?
Filiştinaaşde ç'ak'ınbışe Akişilqa qəl hav'u, eyhen: – Mana insan yı'q'əlqa sak'al he'e, hasre ğu cuk'le uvhuyne cigee axvecen. Mana dəv'eeqa ımmaylecen, deşxheene, conbışika sarçu, şaka səyxəs. Cune xərıng'usqa, Şaulusqa yugra qalesva, mang'vee yişde insanaaşin vuk'ulybı gyatxhı, mang'us ıkkees.
5 Je, huyu si ndiye Daudi walioimba kumhusu katika ngoma zao, wakisema: “‘Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake’?”
İçeeşe mık'ar ha'amee, «Şaulee aazırbışika, Davudeeme yits'ne aazırbışika gyapt'ıva», mə'niybı qədəqqəng'a, yik'el qalya'ana Davud ina vuc vor.
6 Basi Akishi akamwita Daudi na kumwambia, “Kama vile Bwana aishivyo, wewe umekuwa mtu mwaminifu, nami ningependa utumike pamoja nami katika jeshi. Tangu siku ile uliyofika kwangu hadi sasa, sijaona kosa lolote kwako, lakini hao watawala hawakukubali.
Akişee Davud qort'ul, eyhen: – Vorne Rəbbilqan k'ın ixhen, ğu qorkuna insanır. Yiğın zakasana g'oşunee sacigee ark'ıniy zas ıkkanan. Ğu zasqa qarıyne yiğıle, g'iyniyne yiğılqamee zak'le vake pisın g'acuyn deş. Ç'ak'ınbışik'lemee, ğu yugracar g'ece deşur.
7 Rudi na uende kwa amani; usifanye chochote cha kuwakasirisha watawala wa Kifilisti.”
Həşdiyle ğu, yugraxhinee yı'q'əlqa sak'le. Filiştinaaşde ç'ak'ınbışde ulesqa yugda qidyalesın kar hıma'a.
8 Daudi akamuuliza Akishi, “Lakini mimi nimefanya nini? Je, umeona nini kibaya juu ya mtumishi wako tangu siku ile niliyokuja kwako hadi leo? Kwa nini nisirudi na kupigana na adui za bwana wangu mfalme?”
Davudee Akişik'le eyhen: – Zı vasqa qariyne yiğıle, g'iyniyne yiğılqamee zı vasqa yugda qidyalesın nya'a, hucoona hı'ı? Nya'a zasse həşde hark'ın yizde paççahne duşmanaaşika saç'ikkvas dəxə?
9 Akishi akamjibu Daudi, “Mimi ninajua ya kuwa wewe umekuwa wa kupendeza machoni pangu kama vile malaika wa Mungu. Lakini hao majemadari wa Wafilisti wamesema, ‘Huyu haimpasi kwenda vitani pamoja nasi.’
Akişee Davudus inəxdın alidghıniy qele: – Zak'le ats'an, ğu yizde ulesqa Allahın malaaik xhinne yugra qöö vor. Filiştinaaşde ç'ak'ınbışemee eyhen: «Davud şaka dəv'eeqa ımmaylecen».
10 Sasa amka mapema, pamoja na watumishi wa bwana wako waliofuatana nawe, nanyi ondokeni asubuhi mara kutakapopambazuka.”
Həşde vaka qööne, yiğne xərıng'une, Şaulne, nukaraaşika miç'er çakra oza qıxha, hoora.
11 Hivyo Daudi na watu wake wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda zao kurudi katika nchi ya Wafilisti, nao Wafilisti wakapanda kwenda Yezreeli.
Davudıy cun insanar Filiştinaaşde cigabışeeqa savk'alasva miç'eeb çakba oza qeebaxhe. Filiştinaarme İzre'elyqa avayk'an.