< 1 Nyakati 8 >
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Or Benjamin engendra Bélah, qui fut son premier-né, Asbel le second, Achrah le troisième,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noah le quatrième, et Rapha le cinquième.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Et les enfants de Bélah furent, Addar, Guéra, Abihud.
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisuah, Nahaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Guéra, Séphuphan, et Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Ce sont là les enfants d'Ehud. Ceux-là étaient chefs des pères des habitants de Guéba, qui furent transportés à Manahath.
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Et Nahaman, et Ahija, et Guéra, qui les transporta; [et] qui après engendra Huza et Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Or Saharajim, après les avoir renvoyés, eut des enfants au pays de Moab, de Husim, et de Bahara ses femmes.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Et il engendra, de Hodés sa femme Jobab, Tsibia, Mesa, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jehuts, Socja, et Mirma. Ce sont là ses enfants, chefs des pères.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Mais de Husim il engendra Abitub, Elpahal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Et les enfants d'Elpahal furent Héber, Misham, et Semed, qui bâtit Onò, et Lod, et les villes de son ressort.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Et Bériha et Sémah furent chefs des pères des habitants d'Ajalon; ils mirent en fuite les habitants de Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Et Ahio, Sasak, Jérémoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zébadia, Harad, Héder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Micaël, Jispa, et Joha, enfants de Bériha.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Et Zébadia, Mesullam, Hiski, Héber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jisméraï, Jizlia, et Jobab, enfants d'Elpahal.
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elihenaï, Tsillethaï, Eliël,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Hadaja, Beraja, et Simrath, enfants de Simhi.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Et Jispan, Héber, Eliël,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Habdon, Zicri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananja, Hélam, Hantothija,
Jiphdeja et Pénuël, enfants de Sasak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Et Samseraï, Seharia, Hathalija,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaharésia, Elija, et Zicri, enfants de Jéroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Ce sont là les chefs des pères selon les générations qui furent chefs; et ils habitèrent à Jérusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Et le père de Gabaon habita à Gabaon, sa femme avait nom Mahaca.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Et son fils premier-né fut Habdon, puis Tsur, Kis, Bahal, Nadab,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Et Mikloth engendra Siméa. Ils habitèrent aussi vis-à-vis de leurs frères à Jérusalem, avec leurs frères.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Et Ner engendra Kis, et Kis engendra Saül, et Saül engendra Jonathan, Malki-suah, Abinadab, et Esbahal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Le fils de Jonathan fut Mérib-bahal; et Mérib-bahal engendra Mica.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Et les enfants de Mica furent, Pithon, Mélec, Taréah, et Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Et Achaz engendra Jéhohadda; et Jéhohadda engendra Halemeth, Hasmaveth, et Zimri; et Zimri engendra Motsa.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Et Motsa engendra Binha, qui eut pour fils Rapha, qui eut pour fils Elhasa, qui eut pour fils Atsel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Et Atsel eut six fils, dont les noms sont, Hazrikam, Bocru, Ismaël, Séharia, Hobadia, et Hanan; tous ceux-là furent enfants d'Atsel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Et les enfants de Hesek son frère furent, Ulam son premier-né, Jéhu le second, Eliphelet le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Et les enfants d'Ulam furent des hommes forts et vaillants, tirant bien de l'arc, et ils eurent beaucoup de fils et de petits-fils, jusqu'à cent cinquante; tous des enfants de Benjamin.