< 1 Nyakati 24 >

1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Aronovi su sinovi imali svoje redove. Sinovi Aronovi bili su: Nadab, Abihu, Eleazar i Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
Ali su Nadab i Abihu umrli prije oca i nisu imali djece; zato su svećeničku službu vršili Eleazar i Itamar.
3 Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
David je razdijelio na redove njih i Sadoka, od Eleazarovih sinova, i Ahimeleka, od Itamarovih sinova, po njihovu redu u njihovoj službi.
4 Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
Ali se u Eleazarovih sinova našlo više muških poglavara nego u Itamarovih sinova, pa kad ih podijeliše, od Eleazarovih je sinova bilo šesnaest porodičnih poglavara, a od Itamarovih sinova samo osam porodičnih poglavara.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
Zato su ih razdijelili ždrebovima, jedne i druge, jer su posvećeni knezovi i Božji knezovi bili i od Eleazarovih sinova i od Itamarovih sinova.
6 Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
Popisao ih je Netanelov sin Šemaja, pisar od Levijeva plemena, pred kraljem, knezovima, svećenikom Sadokom, Ebjatarovim sinom Ahimelekom, pred poglavarima porodica među svećenicima i levitima, uzevši po jednu porodicu za Eleazara, a po jednu opet za Itamara.
7 Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
Prvi je ždrijeb pao na Jojariba, drugi na Jedaju,
8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
treći na Harima, četvrti na Seorima,
9 ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
peti na Malkiju, šesti na Mijamina,
10 ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
sedmi na Hakosa, osmi na Abiju,
11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
deveti na Ješuu, deseti na Šekaniju,
12 ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
jedanaesti na Elijašiba, dvanaesti na Jakima,
13 ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
trinaesti na Hupu, četrnaesti na Ješebaba,
14 ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
petnaesti na Bilgu, šesnaesti na Imera,
15 ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
sedamnaesti na Hezira, osamnaesti na Hapisesa,
16 ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
devetnaesti na Petahju, dvadeseti na Ezekiela,
17 ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
dvadeset i prvi na Jakina, dvadeset i drugi na Gamula,
18 ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
dvadeset i treći na Delaju, dvadeset i četvrti na Maazju.
19 Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
To je njihov red u službi kojim treba da idu u Jahvin Dom, po svom pravilu, primljenu od oca im Arona, kako mu je zapovjedio Jahve, Bog Izraelov.
20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
Od ostalih Levijevih sinova bio je od Amramovih sinova Šubael; od Šubaelovih sinova Jehdeja;
21 Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
od Rehabje, od Rehabjinih sinova poglavar Jišija;
22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
od Jisharovaca Šelomot; od Šelomotovih sinova Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Od Jerijinih sinova: drugi Amarja, treći Jahaziel, četvrti Jekaman.
24 Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
Od sinova Uzielovih Mika; od Mikinih sinova Šamir;
25 Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
Mikin brat Jišija; od Jišijinih sinova Zaharija;
26 Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
Merarijevi sinovi: Mahli i Muši; sinovi Jaazije, njegova sina.
27 Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
Merarijevi sinovi po Jaaziji, njegovu sinu: Šoham, Zakur i Ibri;
28 Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
po Mahliju Eleazar, koji nije imao djece;
29 Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
po Kišu, Kišovi sinovi, Jerahmeel.
30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
Mušijevi sinovi: Mahli, Eder i Jerimot. To su bili levitski sinovi po svojim porodicama.
31 Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.
I oni su bacali ždrebove kao njihovi rođaci, Aronovi sinovi, pred kraljem Davidom, Sadokom, Ahimelekom i porodičnim poglavarima među svećenicima i levitima, i to jednako glavar obitelji kao i njegov najmlađi brat.

< 1 Nyakati 24 >