< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,
Evo Izraelovih sinova: Ruben, Šimun, Levi, Juda, Jisakar i Zebulun,
2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.
Dan, Josip i Benjamin, Naftali, Gad i Ašer.
3 Wana wa Yuda walikuwa: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Bwana, kwa hiyo Bwana alimuua.
Judini sinovi: Er, Onan i Šela. Ta mu je tri rodila Kanaanka, Šuina kći. Ali Er, Judin prvenac, bijaše nevaljao u Jahvinim očima i Jahve ga pogubi.
4 Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Njegova nevjesta Tamara rodi mu Peresa i Zeraha. U svemu je bilo pet Judinih sinova.
5 Wana wa Peresi walikuwa: Hesroni na Hamuli.
Peresovi su sinovi bili: Hesron i Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
Zerahovi su sinovi bili: Zimri, Etan, Heman, Kalkol i Dara; u svemu pet.
7 Mwana wa Karmi alikuwa: Akari, ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.
Karmijevi su sinovi bili: Akar, koji je nanio zlo Izraelu prekršivši kletvu.
8 Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
A sinovi Etanovi: Azarja.
9 Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Hesronovi sinovi koji mu se rodiše bijahu: Jerahmeel, Ram i Kelubaj.
10 Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.
Ram rodi Aminadaba, a Aminadab rodi Nahšona, kneza Judinih sinova.
11 Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,
Nahšon rodi Salmu, Salma rodi Boaza.
12 Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.
Boaz rodi Obeda, Obed rodi Jišaja.
13 Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,
Jišaj rodi prvenca Eliaba, drugog Abinadaba, trećeg Šimu,
14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
četvrtog Netanela, petog Radaja,
15 wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
šestog Osema, sedmoga Davida.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
Sestre im: Sarviju i Abigajilu. Sarvijini su sinovi bili: Abišaj, Joab, Asahel, trojica.
17 Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
Abigajila je rodila Amasu, Amasin je otac bio Jišmaelac Jeter.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
Hesronov sin Kaleb imao je sa ženom Azubom i s Jeriotom sinove, a sinovi su mu bili: Ješer, Šobab i Ardon.
19 Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
Kad je umrla Azuba, uze Kaleb za ženu Efratu i ona mu rodi Hura.
20 Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.
Hur rodi Urija, a Uri rodi Besalelu.
21 Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.
Potom Hesron uze kćer Makira, oca Gileadova; uzeo ju je za ženu kad mu je bilo šezdeset godina i ona mu rodi Seguba.
22 Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.
Segub rodi Jaira, koji je imao dvadeset i tri grada u gileadskoj zemlji.
23 (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.
Ali su Gešurci i Aramejci osvojili od njih Jairova Sela, Kenat sa selima, šezdeset gradova. To su sve osvojili sinovi Makira, oca Gileadova.
24 Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.
Kad je umro Hesron u Kaleb Efrati, Hesronova žena Abija rodi mu Ašhura, oca Tekoina.
25 Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.
Sinovi Jerahmeela, Hesronova prvenca, bili su: prvenac Ram, pa Buna, Oren, Osem i Ahija.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.
Jerahmeel je imao i drugu ženu, zvala se Atara, koja je bila Onamova majka.
27 Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa: Maasi, Yamini na Ekeri.
Sinovi Rama, Jerahmeelova prvenca, bili su Maas, Jamin i Eker.
28 Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri.
Onamovi su sinovi bili: Šamaj i Jada; Šamajevi sinovi: Nadab i Abišur.
29 Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.
Abišurova se žena zvala Abihajla, koja mu rodi Ahbana i Molida.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.
Nadabovi su sinovi bili: Seled i Afajim, ali je Seled umro bez djece.
31 Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai.
Sinovi su Afajimovi bili: Jiši; Jišijevi sinovi: Šešan; Šešanov sin Ahlaj.
32 Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.
Sinovi Jade, brata Šamajeva, bili su: Jeter i Jonatan; ali je Jeter umro bez djece.
33 Wana wa Yonathani walikuwa: Pelethi na Zaza. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.
Jonatanovi su sinovi bili: Pelet i Zaza. To su bili Jerahmeelovi sinovi.
34 Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.
Šešan nije imao sinova, nego kćeri; ali je Šešan imao slugu Egipćanina po imenu Jarhu.
35 Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Zato je Šešan dao kćer sluzi Jarhi za ženu i ona mu rodi Ataja.
36 Atai akamzaa Nathani, Nathani akamzaa Zabadi,
Ataj rodi Natana, Natan rodi Zabada.
37 Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi,
Zabad rodi Eflala, Eflal rodi Obeda;
38 Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria,
Obed rodi Jehua, Jehu rodi Azarju,
39 Azaria akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa,
Azarja rodi Helesa, Heles rodi Elasu;
40 Eleasa akamzaa Sismai, Sismai akamzaa Shalumu,
Elasa rodi Sismaja, Sismaj rodi Šaluma,
41 Shalumu akamzaa Yekamia, naye Yekamia akamzaa Elishama.
Šalum rodi Jekamju, Jekamja rodi Elišamu.
42 Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.
Sinovi Kaleba, Jerahmeelova brata, bili su: njegov prvenac Meša, otac Zifov; sinovi oca Mareše bili su: Hebron.
43 Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.
Hebronovi sinovi Korah, Tapuah, Rekem i Šema.
44 Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.
Šema rodi Rahama, oca Jorkoamova, a Rekem rodi Šamaja.
45 Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.
Šamajev je sin bio Maon, a Maon je bio otac Bet-Sarov.
46 Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
Efa, Kalebova inoča, rodila je Harana, Mosu i Gazeza; Haran je rodio Gazeza.
47 Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
Johdajevi su sinovi bili: Regem, Jotam, Gešan, Felet, Efa i Šaaf.
48 Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.
Maaka, Kalebova inoča, rodila je Šebera i Tirhanu.
49 Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.
Rodila je Šaafa, oca Madmanina, Ševu, oca Makbenina, i oca Gibina; a Kalebova je kći bila Aksa.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,
To su bili sinovi Kalebovi. A sinovi Hura, Efratina prvenca: Šobal, otac Kirjat Jearimov,
51 Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.
Salma, otac Betlehemov, i Haref, otac Bet-Gaderov.
52 Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,
A sinovi Šobala, oca Kirjat Jearimova: Reaja, polovica Manahaćana.
53 pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.
Kirjatjearimske su porodice bile: Jitrani, Pućani, Šumaćani i Mišrani; od njih su potekli Soraćani i Eštaoljani.
54 Wazao wa Salma walikuwa: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,
Salmini su sinovi: Betlehem, Netofaćani, Atrot, Bet Joab i polovina Manahaćana, Saraćani.
55 pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.
Književničke obitelji koje su živjele u Jabesu bile su: Tiraćani, Simeaćani, Sukaćani. To su Kinejci koji su potekli od Hamata, oca Rekabova doma.

< 1 Nyakati 2 >