< Salmos 111 >
1 Dejen que que el Señor sea alabado. Alabaré al Señor con todo mi corazón, entre los rectos y en la reunión del pueblo.
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2 Las obras del Señor son grandes, buscadas por todos aquellos que se deleitan en ellas.
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3 Su obra está llena de honor y gloria; y su justicia es inmutable para siempre.
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4 Cierto para siempre es el recuerdo de sus maravillas; el Señor está lleno de compasión y misericordia.
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5 Ha dado comida a sus adoradores; mantendrá su acuerdo en mente para siempre.
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
6 Ha dejado en claro a su pueblo el poder de sus obras, dándoles la herencia de las naciones.
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
7 Las obras de sus manos son fe y justicia; todas sus leyes son inmutables.
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
8 Pues son firmes por los siglos de los siglos, se hacen con fe y justicia.
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9 Él ha enviado salvación a su pueblo; él ha dado su palabra para siempre: santo es su nombre y grandemente temible.
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10 El temor del Señor es la mejor parte de la sabiduría: todos los que guardan sus leyes son sabios: su alabanza es eterna.
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.