< Salmos 87 >

1 Un Salmo de los hijos de Coré; una Canción. Su fundamento está en los montes sagrados.
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Yahvé ama las puertas de Sión más que todas las moradas de Jacob.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 Cosas gloriosas se dicen de ti, ciudad de Dios. (Selah)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 Registraré a Rahab y a Babilonia entre los que me reconocen. Mira, Filistea, Tiro, y también Etiopía: “Este nació allí”.
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Sí, de Sión se dirá: “Éste y aquél han nacido en ella”. el mismo Altísimo la establecerá.
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 Yahvé contará, cuando escriba los pueblos, “Este nació allí”. (Selah)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 Tanto los que cantan como los que bailan dicen, “Todos mis resortes están en ti”.
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

< Salmos 87 >