< Psalmi 108 >

1 Oh Bog, moje srce je trdno; prepeval bom in dajal hvalo, celó s svojo slavo.
Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
2 Zbudita se, plunka in harfa; jaz sam se bom zgodaj prebudil.
Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
3 Hvalil te bom, oh Gospod, med ljudstvi in prepeval ti bom hvale med narodi.
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
4 Kajti tvoje usmiljenje je veliko nad nebom in tvoja resnica sega do oblakov.
Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
5 Bodi povišan, oh Bog, nad nebo in tvoja slava nad vso zemljo,
Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
6 da so tvoji ljubljeni lahko osvobojeni; reši s svojo desnico in mi odgovori.
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
7 Bog je spregovoril v svoji svetosti: »Veselil se bom in razdelil bom Sihem in odmeril Sukótsko dolino.
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
8 Gileád je moj, Manáse je moj, tudi Efrájim je moč moje glave, Juda je moj postavodajalec.
Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
9 Moáb je moj lonec za pranje, nad Edóm bom vrgel svoj čevelj, nad Filistejo bom slavil zmago.«
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
10 Kdo me bo privedel v utrjeno mesto? Kdo me bo vodil v Edóm?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
11 Mar ne boš ti, oh Bog, ki si nas zavrgel? Ali ne boš ti, oh Bog, šel naprej z našimi vojskami?
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
12 Daj nam pomoč iz stiske, kajti zaman je človeška pomoč.
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
13 Z Bogom bomo delali hrabro, kajti on je ta, ki bo pomendral naše sovražnike.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.

< Psalmi 108 >