< Книга Неемии 3 >

1 И воста Елиасув священник великий и братия его священницы, и создаша врата Овчая: сии освятиша их и поставиша двери их и даже до столпа Ста Лакот освятиша их, даже до столпа Анамеиля.
Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
2 И близ его созидаша мужие Иерихонстии, и близ их созида Закхур сын Аманиин.
Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
3 Врата же Рыбная созидаша сынове Асанаевы: сии покрыша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их.
Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
4 И близ их созидаше из Рамофы сын Уриин, сына Аккосова: и близ его созидаше Мосоллам сын Варахиин, сына Мазевиля: и близ их созидаше Садок сын Ваанаев:
Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
5 и близ их созидаша Фекоими, сильнии же их не положиша выи своея в дело Господа Бога своего.
Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
6 И врата старая созидаше Иоида сын Фасеков и Месуллам сын Васодиев: тии покрыста их и постависта двери их и заворы и вереи их.
Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
7 И близ их созидаша Малтиа Гаваонитин и Еварон Миронофит, мужие от Гаваона и Масфы, даже до престола князя (иже бысть) об он пол реки.
Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
8 И близ его созида Озиил сын Арахиев златарь: и близ его созида Ананиа сын Рокеима, и возставиша Иерусалим даже до стены широкия.
Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
9 И близ их созидаше Рафаиа сын Сурин, началник половины окрестныя страны Иерусалимли.
Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
10 И близ их созидаше Иедеа сын Еромафов, и противу дому его: и близ его созида Аттуф сын Асаваниин.
Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
11 И вторую часть созидаше Мелхиа сын Ирамов и Асув сын Фааф-Моавль, и даже до столпа Пещнаго.
Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
12 И близ его созидаше Саллум сын Аллоисов, началник половины страны окрестныя Иерусалимли, той и дщери его.
Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
13 Врата Юдоли созидаша Анун и обитающии в Заноне: тии создаша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их, и тысяща лакот в стене даже до врат Гнойных.
Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
14 И врата Гнойная созидаше Мелхиа сын Рихавль, началник окрестныя страны Вифакрамския, той и сынове его, и покрыша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их.
Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
15 И врата Источника созидаше Соломон сын Халезеов, началник страны Масфы: той созда их и покры их, и постави двери их и заворы их и вереи их, и стену купели Силоамли ко вертограду цареву и даже до степеней низходящих от града Давидова.
Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
16 По немже созидаше Неемиа сын Завухов, началник половины страны Вифсуровы, даже до вертограда гроба Давидова и даже до купели устроеныя и даже до дому сильных.
Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
17 По нем созидаша левити, Раум сын Ванаимль: по нем созидаше Асавиа, началник половины страны Кеилы на стране своей,
Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
18 и по нем созидаша братия их, Веней сын Инададов, началник половины окрестныя страны Кеилы.
Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
19 И созидаше близ его Азур сын Иисусов, началник Масфы, меру вторую столпа восхода касающагося углу.
Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
20 И по нем созидаше Варух, сын Завуев, меру вторую от угла даже до врат дому Елиасува священника великаго.
Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
21 По нем созидаше Мерамоф сын Урии, сына Аккосова, меру вторую от врат дому Елиасувова даже до конца дому Елиасувова.
Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
22 И по нем созидаша священницы, мужие от поля (иорданска).
Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
23 И по нем созидаста Вениамин и Асув противу домов своих: и по нем созидаше Азариа сын Маасиев, сына Ананиина, близ дому своего.
Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
24 По нем созидаше Ваней сын Ададов меру вторую от дому Азарии даже до угла и даже до уклонения.
Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
25 Фалах сын Узаин противу угла и столпа возвышенаго из дому царева высоко, иже во дворе темничнем: и по нем Фадаиа сын Форосов.
Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
26 И нафиними обиташа во Офале, даже до вертограда врат Водных ко востоком и даже до столпа, иже бе возвышен.
Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
27 И по них созидаша Фекоими меру вторую от страны столпа великаго и высокаго даже до стены Офлы.
Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
28 Вышше врат Конских созидаша священницы, един кийждо противу дому своего.
Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
29 И по нем созидаше Саддук сын Еммирь противу дому своего: и по нем созидаше Самаиа сын Сехениев, страж врат восточных.
Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
30 По нем созидаше Ананиа сын Селемиев и Аном сын Селефов шестый меру вторую: по нем созидаше Месуллам сын Варахиев противу сокровищницы своея.
Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
31 По нем созидаше Мелхиа сын Сарефиев даже до дому нафинимля и щиты продающих, противу врат Судных, и даже до горницы угла.
Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
32 И посреде врат Овчих созидаша ковачи и щитопродавцы.
Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.

< Книга Неемии 3 >