< Neemias 3 >
1 E levantou-se Eliasib, o sumo sacerdote, com os seus irmãos, os sacerdotes, e edificaram a porta do gado, a qual consagraram; e levantaram as suas portas: e até a torre de Meah consagraram, e até a torre de Hananel.
Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
2 E junto a ele edificaram os homens de Jericó: também ao seu lado edificou Zaccur, filho de Imri.
Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
3 E a porta do peixe edificaram os filhos de Senaa; a qual emadeiraram, e levantaram as suas portas com as suas fechaduras e os seus ferrolhos.
Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
4 E ao seu lado reparou Meremoth, filho de Urias, o filho de Kós; e ao seu lado reparou Mesullam, filho de Berechias, o filho de Mesezabel; e ao seu lado reparou Zadok, filho de Baana.
Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
5 E ao seu lado repararam os tekoitas: porém os seus ilustres não meteram o seu pescoço ao serviço de seu senhor.
Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
6 E a porta velha repararam-na Joiada, filho de Paseah, e Mesullam, filho de Besodias: estes a emadeiraram, e levantaram as suas portas com as suas fechaduras e os seus ferrolhos.
Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
7 E ao seu lado repararam Melatias, o gibeonita, e Jadon, meronothita, homens de Gibeon e Mispah, até ao assento do governador de aquém do rio.
Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
8 Ao seu lado reparou Uziel, filho de Harhaias, um dos ourives; e ao seu lado reparou Hananias, filho dum dos boticários; e deixaram a Jerusalém até ao muro largo.
Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
9 E ao seu lado reparou Rephaias, filho de Hur, maioral de metade de Jerusalém.
Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
10 E ao seu lado reparou Jedaias, filho de Harumaph, e defronte de sua casa; e ao seu lado reparou Hattus, filho de Hasabneias.
Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
11 A outra porção reparou Malchias, filho de Harim, e Hasub, filho de Pahathmoab: como também a torre dos fornos.
Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
12 E ao seu lado reparou Sallum, filho de Lohes, maioral da outra meia parte de Jerusalém, ele e suas filhas.
Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
13 A porta do vale reparou-a Hanun e os moradores de Zanoah: estes a edificaram, e lhe levantaram as portas com as suas fechaduras e os seus ferrolhos, como também mil côvados no muro, até à porta do monturo.
Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
14 E a porta do monturo reparou-a Malchias, filho de Rechab, maioral do distrito de Beth-cherem: este a edificou, e lhe levantou as portas com as suas fechaduras e os seus ferrolhos.
Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
15 E a porta da fonte reparou-a Sallum, filho de Col-hose, maioral do distrito de Mispah: este a edificou, e a cobriu, e lhe levantou as portas com as suas fechaduras e os seus ferrolhos, como também o muro do viveiro de Selah, ao pé do jardim do rei, e até aos degraus que descem da cidade de David.
Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
16 Depois dele edificou Nehemias, filho de Azbuk, maioral da metade de Beth-zur, até defronte dos sepulcros de David, e até ao viveiro artificial, e até à casa dos varões.
Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
17 Depois dele repararam os levitas, Rehum, filho de Bani: ao seu lado reparou Hasabias, maioral da metade de Keila, no seu distrito.
Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
18 Depois dele repararam seus irmãos, Bavai, filho de Henadad, maioral da outra meia parte de Keila.
Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
19 Ao seu lado reparou Ezer, filho de Josué, maioral de Mispah, outra porção, defronte da subida à casa das armas, à esquina.
Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
20 Depois dele reparou com grande ardor Baruch, filho de Zabbai, outra medida, desde a esquina até à porta da casa de Eliasib, o sumo sacerdote.
Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
21 Depois dele reparou Meremoth, filho de Urias, o filho de Kos, outra porção, desde a porta da casa de Eliasib, até à extremidade da casa de Eliasib.
Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
22 E depois dele repararam os sacerdotes que habitavam na campina.
Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
23 Depois reparou Benjamin e Hasub, defronte da sua casa: depois dele reparou Azarias, filho de Maaseias, o filho de Ananias, junto à sua casa.
Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
24 Depois dele reparou Binnui, filho de Henadad, outra porção, desde a casa d'Azarias até à esquina, e até ao canto.
Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
25 Palal, filho de Uzai, defronte da esquina, e a torre que sai da casa real superior, que está junto ao pátio da prisão: depois dele Pedaias, filho de Parós.
Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
26 E os nethineos que habitavam em Ophel, até defronte da porta das águas, para o oriente, e até à torre alta.
Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
27 Depois repararam os tekoitas outra porção, defronte da torre grande e alta, e até ao muro d'Ophel.
Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
28 Desde acima da porta dos cavalos repararam os sacerdotes, cada um defronte da sua casa.
Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
29 Depois deles reparou Zadok, filho de Immer, defronte de sua casa: e depois dele reparou Semaias, filho de Sechanias, guarda da porta oriental.
Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
30 Depois dele reparou Hananias, filho de Selemias, e Hanun, filho de Zalaph, o sexto, outra porção: depois dele reparou Mesullam, filho de Berechias, defronte da sua câmara.
Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
31 Depois dele reparou Malchias, filho dum ourives, até à casa dos nethineos e mercadores, defronte da porta de Miphkad, e até à câmara do canto.
Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
32 E entre a câmara do canto e a porta do gado, repararam os ourives e os mercadores.
Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.