< Galacjan 2 >

1 Potem po czternastu latach wstąpiłem zasię do Jeruzalemu z Barnabaszem, wziąwszy z sobą i Tytusa.
Baada ya miaka kumi na nne nilienda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba. Pia nilimchukua Tito pamoja nami.
2 A wstąpiłem według objawienia i przełożyłem im Ewangieliję, którą każę między poganami, a zwłaszcza zacniejszym, bym snać nadaremno nie bieżał, albo przedtem nie biegał.
Nilienda kwa sababu Mungu alijidhihirisha kwangu kwamba nilipaswa kwenda. Niliweka mbele yao Injili ambayo niliitangaza kwa watu wa mataifa. (Lakini niliongea kwa siri kwa waliosemekana kuwa viongozi muhimu). Nilifanya hivi ili kuhakikisha kwamba nilikuwa sikimbii, au nilikimbia bure.
3 Ale ani Tytus, który ze mną był, będąc Grekiem, nie był przymuszony obrzezać się,
Lakini hata Tito, aliyekuwa pamoja nami, aliyekuwa Myunani, alilazimishwa kutahiriwa.
4 A to dla wprowadzonych fałszywych braci, którzy się wkradli, aby wyszpiegowali wolność naszę, którą mamy w Chrystusie Jezusie, aby nas w niewolę podbili.
Jambo hili lilitokea kwa sababu ya ndugu wa uongo waliokuja kwa siri kupeleleza uhuru tuliokuwa nao katika Kristo Yesu. Walitamani kutufanya sisi kuwa watumwa wa sheria.
5 Którymeśmy i na chwilkę nie ustąpili, i nie poddali się, aby u was prawda Ewangielii została.
Hatukujitoa kuwatii hata kwa saa moja, ili kwamba injili ya kweli ibaki bila kubadilika kwenu.
6 A od tych, którzy się zdadzą być czemś, (acz jakimi niekiedy byli, nic mi na tem; bo osoby człowieczej Bóg nie przyjmuje), ci mówię, którzy się zdali być czemś, nic mi nie przydali.
Lakini wale waliosemwa kuwa walikuwa viongozi hawakuchangia chochote kwangu. Chochote walichokuwa wakikifanya hakikuwa na maana kwangu. Mungu hakubali upendeleo wa wanadamu.
7 Owszem, przeciwnym obyczajem, widząc, iż mi jest zwierzona Ewangielija między nieobrzezanymi, jako Piotrowi między obrzezanymi,
Badala yake, waliniona kwamba nimeaminiwa kuitangaza injili kwa wale ambao hawakutahiriwa. Ilikuwa kama Petro atangaze injili kwa waliotahiriwa.
8 (Albowiem ten, który był skuteczny przez Piotra w apostolstwie między obrzezanymi, skuteczny był i we mnie między poganami.)
Kwa maana Mungu, aliyefanya kazi ndani ya Petro kwa ajili ya utume kwa wale waliotahiriwa, pia alifanya kazi ndani yangu kwa watu wa mataifa.
9 I poznawszy łaskę mnie daną, Jakób i Kiefas, i Jan, którzy się zdadzą być filarami, podali prawicę mnie i Barnabaszowi na towarzystwo, abyśmy my między poganami, a oni między obrzezanymi kazali.
Wakati Yakobo, Kefa, na Yohana, waliotambulika kuwa waliojenga Kanisa, walifahamu neema niliyopewa mimi, walitupokea katika ushirika mimi na Barnaba. Walifanya hivi ili kwamba twende kwa watu wa mataifa, na ili kwamba waweze kwenda kwa wale waliotahiriwa.
10 Tylko upomnieli, abyśmy na ubogich pamiętali, o com się też pilnie starał, abym to uczynił.
Pia walitutaka sisi kuwakumbuka masikini. Mimi pia nilikuwa natamani kufanya jambo hili.
11 A gdy przyszedł Piotr do Antyjochii, sprzeciwiłem się mu w twarz; i był godzien nagany.
Wakati Kefa alipokuja Antiokia, nilimpinga waziwazi kwa sababu alikuwa amekosea.
12 Albowiem przedtem, niż przyszli niektórzy od Jakóba, wespół z poganami jadał; a gdy ci przyszli, schraniał się i odłączał, bojąc się tych, którzy byli z obrzezania.
Kabla ya watu kadhaa kuja kutoka kwa Yakobo, Kefa alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa. Lakini hawa watu walipokuja, aliacha na kuondoka kutoka kwa watu wa mataifa. Alikuwa anaogopa watu ambao walihitaji tohara.
13 A wespół z nim obłudnie się obchodzili i drudzy Żydzi, tak że i Barnabasz uwiedziony był tą ich obłudą.
Vilevile Wayahudi wengine waliungana na unafiki huu pamoja na Kefa. Matokeo yake yalikuwa kwamba hata Barnaba alichukuliwa na unafiki wao.
14 Ale gdym obaczył, iż nie prosto chodzą w prawdzie Ewangielii, rzekłem Piotrowi przed wszystkimi: Ponieważ ty, będąc Żydem, po pogańsku żyjesz a nie po żydowsku, czemuż pogan przymuszasz po żydowsku żyć?
Lakini nilipoona kwamba walikuwa hawafuati injili ya kweli, nilimwambia Kefa mbele yao wote, “Kama ninyi ni Wayahudi lakini mnaishi tabia za watu wa mataifa badala ya tabia za Kiyahudi, kwa nini mnawalazimisha watu wa mataifa kuishi kama Wayahudi?”
15 My, którzyśmy z przyrodzenia Żydowie a nie z pogan grzesznicy,
Sisi ambao ni Wayahudi kwa kuzaliwa na siyo “Watu wa mataifa wenye dhambi “
16 Wiedząc, iż nie bywa usprawiedliwiony człowiek z uczynków zakonu, ale przez wiarę w Jezusa Chrystusa, i myśmy w Jezusa Chrystusa uwierzyli, abyśmy byli usprawiedliwieni z wiary Chrystusowej, a nie z uczynków zakonu, przeto że nie będzie usprawiedliwione z uczynków zakonu żadne ciało.
fahamu kwamba hakuna anayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria. Badala yake, wanahesabiwa haki kwa imani ndani ya Yesu Kristo. Tulikuja kwa imani ndani ya Kristo Yesu ili kwamba tunahesabiwa haki kwa imani ndani ya Kristo na siyo kwa matendo ya sheria. Kwa matendo ya sheria hakuna mwili utakao hesabiwa haki.
17 A jeźli my szukając, abyśmy byli usprawiedliwieni w Chrystusie, znajdujemy się też grzesznikami, tedyć Chrystus jest sługą grzechu? Nie daj tego Boże!
Lakini kama tunapomtafuta Mungu kwa kutuhesabia haki ndani ya Kristo, tunajikuta wenyewe pia kuwa wenye dhambi, je Kristo alifanywa mtumwa wa dhambi? Siyo hivyo!
18 Albowiem jeźli to, com zburzył, znowu zasię buduję, przestępcą samego siebie czynię.
Maana kama nikijenga tegemeo langu juu ya kutunza sheria, tegemeo ambalo nilikwisha liondoa, najionesha mwenyewe kuwa mvunja sheria.
19 Bom ja przez zakon zakonowi umarł, abym żył Bogu.
Kupitia sheria nilikufa kwa sheria, kwa hiyo napaswa kuishi kwa ajili ya Mungu.
20 Z Chrystusem jestem ukrzyżowany, a żyję już nie ja, lecz żyje we mnie Chrystus; a to że teraz w ciele żyję, w wierze Syna Bożego żyję, który mię umiłował i wydał samego siebie za mię.
Nimesulubiwa pamoja na Kristo. Si mimi tena ninayeishi, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha ninayoishi katika mwili ninaishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda na akajitoa kwa ajili yangu.
21 Nie odrzucam tej łaski Bożej; bo jeźli przez zakon jest sprawiedliwość, tedyć Chrystus próżno umarł.
Siikani neema ya Mungu, maana kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angekuwa amekufa bure.

< Galacjan 2 >