< II Koryntian 7 >
1 Te tedy obietnice mając, najmilsi! oczyszczajmy samych siebie od wszelakiej zmazy ciała i ducha, wykonywając poświęcenie w bojaźni Bożej.
Wapendwa wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizi, na tujitakase wenyewe kwa kila jambo ambalo linatufanya kuwa wachafu katika miili yetu na katika roho. Na tuutafute utakatifu katika hofu ya Mungu.
2 Przyjmijcież nas; nikogośmy nie ukrzywdzili, nikogośmy nie uszkodzili, nikogośmy przez łakomstwo nie podeszli.
Fanyeni nafasi kwa ajili yetu! Hatujamkosea mtu yeyote. Hatukumdhuru mtu yeyote. Hatujajinufaisha kwa faida ya mtu yeyote.
3 Nie mówięć tego, abym was potępiać miał; bom przedtem powiedział, iż wy w sercach naszych tak jesteście, żebyśmy radzi z wami społecznie umierali i społecznie żyli.
Nasema hili siyo kwa kuwalaumu. Kwa kuwa nimeshasema kwamba mmo mioyoni mwetu, kwetu sisi kufa pamoja na kuishi pamoja.
4 Mam wielkie bezpieczeństwo do mówienia u was, mam wielką chlubę z was, napełnionym jest pociechą, nader obfituję weselem w każdym ucisku naszym.
Nina ujasiri mwingi ndani yenu, na ninajivuna kwa ajili yenu. Nimejawa na faraja. Ninajawa na furaha hata katikati ya mateso yetu yote.
5 Albowiem gdyśmy przyszli do Macedonii, ciało nasze żadnego odpoczynku nie miało, ale we wszystkiem byliśmy uciśnieni, zewnątrz walki, a wewnątrz postrachy.
Tulikuja Makedonia, miili yetu haikuwa na pumziko. Badala yake, tulipata taabu kwa namna zote kwa kupigwa vita upande wa nje na hofu upande wa ndani.
6 Ale Bóg, który cieszy uniżonych, pocieszył nas przez przyjście Tytusowe.
Lakini Mungu, anayefariji waliokata tamaa, alitufariji kwa ujio wa Tito.
7 A nie tylko przez przyjście jego, ale też przez pociechę, którą on ucieszony jest z was, oznajmiwszy nam żądność waszę, narzekanie wasze, gorliwość waszę za mną, tak żem się też więcej uweselił.
Haikuwa kwa ujio wake tu kwamba Mungu alitufariji. ilikuwa pia faraja zile Tito alizopokea kutoka kwenu. Yeye alituambia upendo mkuu mlionao, huzuni yenu, na mlivyokuwa na wasiwasi kwa ajili yangu. Hivyo nimezidi kuwa na furaha zaidi.
8 Bo chociażem was zasmucił przez list, nie żal mi tego, chociaż mi żal było; bo widzę, iż ten list, chociaż na chwilę, zasmucił was był.
Hata ingawa waraka wangu uliwafanya kusikitika, mimi siujutii. lakini ninaujutia wakati nilipoona waraka huo uliwafanya ninyi kuwa na huzuni. lakini mlikuwa na huzuni kwa muda mfupi.
9 Jednak teraz weselę się, nie dlatego, żeście zasmuceni byli, ale żeście zasmuceni byli w pokucie; albowiem byliście zasmuceni według Boga, żebyście w niczem nie szkodowali przez nas.
Sasa nina furaha, si kwa sababu mlikuwa na shida, lakini kwa sababu huzuni zenu iliwaleta kwenye toba. Mlipatwa na huzuni ya kiungu, hivyo mliteswa si kwa hasara kwa sababu yetu.
10 Albowiem smutek, który jest według Boga, pokutę sprawuje ku zbawieniu, której nikt nie żałuje; ale smutek według świata sprawuje śmierć.
Kwa kuwa huzuni ya kiungu huleta toba ambayo hukamilisha wokovu bila ya kuwa na majuto. Huzuni ya kidunia, hata hivyo, huleta mauti.
11 Bo oto to samo, żeście według Boga byli zasmuceni, jako wielką w was pilność sprawiło, owszem obronę, owszem zapalczywość, owszem bojaźń, owszem żądność, owszem gorliwość, owszem pomstę, tak iż we wszystkiem okazaliście się być czystymi w tej sprawie.
Angalieni huzuni hii ya kiungu ilizalisha azma gani kubwa ndani yenu. Jinsi gani azma ilikuwa kubwa ndani yenu kuthibitisha kuwa hamkuwa na hatia. Kwa jinsi gani uchungu wenu ulivyokuwa mkubwa, hofu yenu, matamanio yenu, bidii yenu, na shauku yenu kuona kwamba haki inapaswa kutendeka! Katika kila jambo mmethibitisha wenyewe kutokuwa na hatia.
12 A tak chociażem pisał do was, nie pisałem dla tego, który krzywdę uczynił, ani dla owego, któremu się krzywda stała, ale dla tego, iżby wam wiadoma była ona pilność nasza o was przed oblicznością Bożą.
Ingawa niliwaandikia ninyi, sikuandika kwa ajili ya mkosaji, wala si kwa mtu aliyeteswa na maovu. Nimeandika ili kwamba udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu ifanywe kujulikana kwenu mbele ya macho ya Mungu.
13 Dlategośmy się ucieszyli z pociechy waszej; aleśmy się więcej ucieszyli z wesela Tytusowego, i ochłodzony jest duch jego od was wszystkich.
Ni kwa ajili ya hii kwamba tunafarijika. Katika nyongeza ya faraja yetu wenyewe, tunafurahi pia, hata zaidi kwa sababu ya furaha ya Tito, kwa kuwa roho yake iliburudishwa na ninyi nyote.
14 A iż jeźlim się w czem przed nim z was chlubił, nie zawstydziłem się; ale jakośmy wam prawdziwie wszystko mówili, tak się też chluba nasza przed Tytusem prawdziwa pokazała.
Kwa kuwa kama nilijivuna kwake kuhusiana na ninyi, sikuwa na aibu. Kinyume chake, kama tu kila neno tulilolisema kwenu lilikuwa kweli, Majivuno yetu kuhusu ninyi kwa Tito yalithibitisha kuwa kweli.
15 A wnętrzności jego tem więcej skłonione są ku wam, gdy wspomina posłuszeństwo wszystkich was, i jakoście go bojaźnią i ze drżeniem przyjęli.
Upendo wake kwa ajili yenu hata ni mkubwa zaidi, kama akumbukapo utii wenu nyote, jinsi mlivyomkaribisha yeye kwa hofu na kutetemeka.
16 Raduję się tedy, iż wam we wszystkiem mogę zaufać.
Ninafurahi kwa sababu nina ujasiri kamili ndani yenu.