< Men Rom 15 >

1 A MAK eta, kitail kelail akan, en sauasa me luet akan, ap der peren ki pein kitail.
Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.
2 Amen amen kitail en pok ong men impa, pwen kamauiala i.
Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.
3 Pwe Kristus pil sota kin pok ong pein i, a duen intingidier: Pakainak en me kainaki komui, me I dikidier raui.
Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe, bali kama ilivyoandikwa: “Matukano yao wale wanaokutukana wewe yalinipata mimi.”
4 Pwe karos me intingidier mas o, me intingidier, pwen padaki dong kitail, pweki kanongama o kamait en kisin likau kan kitail en kaporopor.
Kwa maana kila kitu kilichoandikwa zamani, kiliandikwa kutufundisha, ili kwamba kwa saburi na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini.
5 Ari, Kot en kanongama o kamait en kaminimin komail pena duen Kristus Iesus.
Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Kristo Yesu,
6 Pwe komail en kalinganada Kot o Sam en atail Kaun Iesus Kristus ni lamalam ta pot o au ta ieu.
ili kwa moyo mmoja mpate kumtukuza Mungu aliye Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
7 I me komail en apapwali pena dueta Kristus me kotin kasamo komail ong lingan en Kot.
Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Kristo alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.
8 Pwe ngai inda, me Iesus Kristus wialar papan sirkomsais pweki melel en Kot, pwen kapwaiada inau kan ong sam akan.
Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,
9 Pwe men liki kan en kalinganada Kot pweki a mak duen a intingidier: I me I pan kadededa komui ren men liki kan o kauleki mar omui.
pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.”
10 O pil eu me a kotin masani: En popol komail men liki kan iangaki sapwilim a aramas!
Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
11 O pil eu: Kapinga Kaun o, komail men liki kan karos o kalinganada i, komail wei karos!
Tena, “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”
12 O pil eu me Iesaia masani: Ip en Iese pan pwarado, a pan pwarado, pwen kaunda men liki kan, i me men liki kan pan kaporoporeki.
Tena Isaya anasema, “Shina la Yese litachipuka, yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa. Watu wa Mataifa watamtumaini.”
13 Ari, Kot en kaporopor en kadire kin komail peren o popol karos ni poson, pwe omail kaporopor en laudeki manaman en Ngen saraui.
Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini, ili mpate kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
14 A ngai asa mau duen komail ri ai kan, me komail dir en kamau o audaudeki erpit, o koiokki ong panapanaui pena amen amen.
Ndugu zangu, mimi mwenyewe ninasadiki kwamba mmejaa wema na ufahamu wote, tena mnaweza kufundishana ninyi kwa ninyi.
15 Ari so, ri ai kan, i inting wong komail er duen met, pwen kataman kin komail mak eu, me Kot kotiki ong ia er.
Nimewaandikia kwa ujasiri vipengele kadha wa kadha katika waraka huu kama kuwakumbusha tena kwa habari ya ile neema Mungu aliyonipa,
16 Pwe i en papan Kristus Iesus ong men liki kan, padapadaki wong ir rongamau en Kot, pwe men liki en wiala mairong eu, me konekon, me kasaraui kila Ngen saraui.
ili kuwa mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa Mataifa nikiwa na huduma ya kikuhani ya kutangaza Injili ya Mungu, ili watu wa Mataifa wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.
17 I me i kak suaiki pan Kristus Iesus pweki meakan me sapwilim en Kot.
Kwa hiyo ninajisifu katika Kristo Yesu, kwenye utumishi wangu kwa Mungu.
18 Pwe i sota pori ong inda meakot, me Kristus sota kotiki ong ia, i en kalua men liki ong peik, ki ai padak o wiawia kan.
Kwa maana sitathubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumia mimi katika kuwaongoza watu wa Mataifa wamtii Mungu kwa yale niliyosema na kufanya,
19 O kilel o manaman akan, en Ngen saraui. Ari, i me i kadire kila rongamau en Kristus sap karos, tapiada Ierusalem, ap lel ong Ilirien.
kwa nguvu za ishara na miujiza, kwa uweza wa Roho wa Mungu, hivyo kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kandokando yake mpaka Iliriko, nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu.
20 Ngai nantiong ni ai padaki rongamau wasa me saikenta asa duen Kristus pwe i de kauada pon pason en amen.
Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
21 A duen a intingidier: Me saik kalok ong irail pan kilang, o me sota rong, re pan weweki.
Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”
22 Nan i me karompwa ia pan pak toto, pwen sota kak pwar wong komail.
Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja kwenu.
23 A met solar wasan dodok ni sap pukat, a par toto me i inong iong en pas wong komail.
Lakini sasa kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii, ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi.
24 I lao sailokelang Spanien, i pan pwar wong komail, pwe i kaporoporeki, me i pan sup wasa o ap kilang komail, a komail pan kalua ia lang wasa o murin ai kaserloleit re omail.
Nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.
25 A met i pan sailokelang Ierusalem, pwen papa saraui kan.
Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.
26 Pwe men Masetonien o Akaia kan mauki kisakisa wei ong saraui samama kan, me mi Ierusalem.
Kwa kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini walioko miongoni mwa watakatifu huko Yerusalemu.
27 Irail mauki pwe re pil pwaipwand ong irail, pwe ma men liki kan pwaisanekier arail pai ngenin, nan me kon ong, irail en pakisakis dong irail ar pai pali war.
Imewapendeza kufanya hivyo, naam, kwani ni wadeni wao. Kwa maana ikiwa watu wa Mataifa wameshiriki baraka za rohoni za Wayahudi, wao ni wadeni wa Wayahudi, ili Wayahudi nao washiriki baraka zao za mambo ya mwilini.
28 I lao kapwaiadar mepukat o ki ong irail er kisakis sapan wet, i ap pan sup re omail o daululang Spanien.
Kwa hiyo baada ya kukamilisha kazi hii na kuhakikisha kuwa wamepokea kila kitu kilichokusanywa, nitapitia kwenu nikiwa njiani kwenda Hispania.
29 A i asadar, i lao pwaralang komail, i pan dir pai ki en Kristus.
Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Kristo.
30 A ri ai kan, i ap poeki komail pan atail Kaun Iesus Kristus o limpok en Ngen pwe komail en dauki pena ong ia omail kapakap kin ia ong Kot.
Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho Mtakatifu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu.
31 Pwe i en piti sang men Iudäa soposon akan, o pwe ai dodok ong Ierusalem en sauasa saraui kan.
Ombeni ili nipate kuokolewa mikononi mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, na kwamba utumishi wangu upate kukubaliwa na watakatifu wa huko Yerusalemu,
32 Pwe i en perenki lel ong komail pan kupur en Kot o iang komail tapwenda.
ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.
33 Ari, Kot en popol en kotikot re omail karos! Amen.
Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

< Men Rom 15 >