< Ioanes I 5 >

1 MEAMEN me kamelele, me Iesus me Kristus, nan i me ipwi sang ren Kot, o me kin pok ong me kaipwidi i, kin pil pok ong, me ipwi sanger.
Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.
2 I me kitail asaki, me kitail pok ong seri en Kot akan, ni atail pok ong Kot o oke a kusoned akan.
Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.
3 Iet limpok ong Kot, atail kapwaiada a kusoned akan, a a kusoned akan me sota apwal.
Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
4 Pwe meamen, me ipwi sang ren Kot, kin kaloedi sappa. Iet pai en pei, me kaloedier sappa, atail poson.
Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.
5 Is me kaloedi sappa, kaidin i eta, me kamelele, me Iesus Sapwilim en Kot?
Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
6 I met, me kokido pil o nta, Iesus Kristus; kaidin pil eta, pwe pil o nta. Ngen me kadedeki, pwe Ngen melel.
Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
7 Irail me silimen me kadede:
Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.
8 Ngen, o pil, o nta; irail kin minimin pena.
Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.
9 Ma kitail kamelele kadede en aramas akan, nan kadede en Kot me lap sang, pwe i en Kot a kadede me a kotin kadedeki sapwilim a Ol.
Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe.
10 Me kamelele Sapwilim en Kot, a men kadede mi lole, me so kin kamelele Kot, kin kalikame i, pwe a sota kamelele kadede en Kot duen sapwilim a Ol,
Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe.
11 A iet kadede o: Kot me kotiki ong kitail er maur soutuk; a i song en maur mi ren sapwilim a Ol. (aiōnios g166)
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
12 Me aneki Na, i me aneki maur, a me sota aneki Sapwilim en Kot, a pil sota aneki maur.
Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.
13 Mepukat i inting wong komail er, pwe komail en asa, me maur soutuk mi re omail, a komail, me poson mar en Sapwilim en Kot. (aiōnios g166)
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
14 O iet at kaporopor kaperen: Meakot kitail poeki re a duen kupur a, a kotin mangi kitail.
Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
15 A ma kitail asa, me a kotin mangi kitail, iran meakot kitail poeki re a, kitail ap asa, me kitail pwais anekier, me kitail kapakapaki.
Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.
16 Meamen me kilangada ri a wia dip, me so imwilang mela, i en kapakapaki, Kot ap pan kotiki ong i maur, ong ir, me so wia dip, me udan mela. A eu song en dip mia, me imwilang mela, duen song en i sota inda, meamen en kapakapaki.
Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.
17 Sapung karos me dip, a song en dip mia, me sota imwilang mela.
Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
18 Kitail asa, meamen me ipwi sang ren Kot, sota kin wia dip; a me ipwi sang ren Kot, apapwali pein i, a men sued o sota pan doke i.
Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru.
19 Kitail asa, me kitail tapi sang ren Kot, a sappa karos mi ni me sued.
Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.
20 A kitail asa, me Sapwilim en Kot pwarador, kalolekong kitail er, pwe kitail en asa i me melel, o kitail kisan i me melel, iei sapwilim a Iesus Kristus. I me Kot melel o maur soutuk. (aiōnios g166)
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
21 Sama ko, kalaka pein komail sang dikedik en ani kan!
Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

< Ioanes I 5 >