< Ehekiera 19 >
1 Na whakahuatia he tangi mo nga rangatira o Iharaira,
“Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
2 Mea atu hoki, He aha tou whaea? He raiona uha: i roto ia i nga raiona e takoto ana, ko ana kuao he mea whakatupu nana i roto i nga raiona,
na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
3 Na atawhaitia ake ana e ia tetahi o ana kuao; kua rahi: kua ako ki te hopu tupapaku mana; kua kai tangata.
Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
4 I rongo ano nga iwi ki a ia; i mau ia ki roto ki ta ratou poka; na kawea ana e ratou, mekameka rawa, ki te whenua o Ihipa.
Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
5 Na, i tona kitenga he tatari kau tana a kua kore tana i tumanako ai, na, ka mau ki tetahi atu o ana kuao, meinga ana e ia hei kuao rahi.
Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
6 Na kei te haereere tera i roto i nga raiona, kua rahi, kua ako ki te hopu tupapaku mana: kua kai tangata.
Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
7 I mohio ano ia ki o ratou whare kingi, whakaururuatia ana e ia o ratou pa, moti iho te whenua me ona tini mea i te haruru o tona hamama.
Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
8 Katahi ia ka whakaekea e nga iwi o nga kawanatanga i tetahi taha, i tetahi taha; horahia ana e ratou he kupenga ki runga ki a ia; kua mau ia ki roto ki ta ratou poka.
Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
9 Na ka tutakina atu ia, mea rawa ki te mekameka, ka kawea ki te kingi o Papurona: i kawea ia ki nga pa kaha, kia kore ai tona reo e rangona i muri ki runga ki nga maunga o Iharaira.
Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
10 I rite tou whaea ki te waina, ou toto na ano, he mea whakato ki te taha o nga wai: he mea whai hua, he mea whai manga, he maha hoki no nga wai.
Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
11 He peka kaha ano ona hei hepeta mo nga kingi; purero tonu ratou, roa tonu, i roto i nga manga pururu, i kitea atu ratou e purero ana, me ona manga maha.
Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
12 Otiia i hutia ia i runga i te aritarita, maka iho ki te whenua, maroke ake ona hua i te hau marangai: i whatiwhatiia ona peka kaha, maroke ake; kainga ake e te ahi.
Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
13 Na inaianei kua oti ia te whakato ki te koraha, ki te whenua maroke, waikore.
Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
14 A kua puta atu he ahi i roto i nga peka o ona manga, pau ake ona hua; kore ake ona peka kaha hei hepeta kingi. He tangi tenei, ka waiho ano hei tangi.
Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”