< 3 Mose 17 >

1 Ra Anumzamo'a Mosesena asamino,
Yahweh akamwambia Musa,
2 Aronine, mofavre naga'ane, maka Israeli vahera Ra Anumzamo'a amanage hie hunka zamasamio,
“Zungumza na Aroni na wanawe, na watu wote wa Israeli. Waambie mambo ambayo ameamru Yahweh:
3 Mago Israeli vahe'mo'ma bulimakao afupi, sipisipifi afu'ma, meme afu'ma kuma agu'afino, fegu'ama aheno'ma kresramna nevuno,
Mtu yeyote wa Isreli anayeua fahali au mwana—kondoo au mbuzi kambini, au amuuaye nje ya kambi, ili kumtoa dhabihu—
4 ana bulimakao afupi, sipisipi afupi, meme afuma erino atruhu seli mono nomofo kafante'ma Ra Anumzamofo avugama omesiana, e'inahu vahe'mo'a kora eritagino kumi hu'neankino, kuma agu'afintira ahenatitregahie.
kama hamleti katika ingilio la hema la kukutania ili kumtoa dhabihu kwa Yahweh mbele za hema lake la kukutania, mtu huyo ana hatia ya damu iliyomwagika. Amemwaga damu, na mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake.
5 Ama'na agafare ana zana hugahaze, Israeli vahe'mo'za amane megi'a kokampi ofazimia kresramna nevazankiza, menina kresramna vu ofazimia eri'za atruhu seli mono nomofo kafante Ra Anumzamofo avuga pristi vahete esageno, agra erino arimpa fru ofa Ra Anumzamonarega hugahie.
Kusudi la amri hii ni kwamba watu wa Israeli wataleta dhabihu zao kwa Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania, watazileta kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa matoleo ya shukrani kwa Yahweh, badala ya kutoa dhabihu hadharani katika shamba.
6 Hagi atruhu seli mono nomofo kafante'ma kresramna vunte itama Ra Anumzamofo avugama me'nere, pristi vahe'mo ana korana rutri tri hunenteno afova'a tevefi kresigeno Ra Anumzamo'na mna'a nentahina musena hugahue.
Kuhani atainyunyiza damu juu ya madhabahu ya Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania; atayachoma mafuta yake ili kutoa harufu ya kupendeza mbele za Yahweh.
7 Zamagra meme afu havi anumzante kresramna vunente'za, a'ne'mo'za savari hu'za monko avu'ava nehazankna osugahaze. Hagi ama'i mevava trake me'nena henkama fore hunante anante'ma hanaza Israeli vahe'mo'za amage antegahaze.
Ni lazima watu wasitoe tena dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi, ambazo kwazo hutenda kama makahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote.
8 Anantera anage hunka zamasamio, Israeli vahepintiro ru vahe'ma tamagranema emani'nenaza vahe'mo'zama ofama nehu'za,
Ni lazima uwaambie, 'Mtu yeyote wa Israeli, au Mgeni yeyote aishiye miongoni mwao, atoweye dhabihu
9 atruhu seli mono nomofo kafante Ra Anumzamofonte'ma eme kresramna ovanimofona, Israeli vahepintira ahenatitregahaze.
na asiilete kwenye ingilio la hema la kukutania ili kuitoa kwa Yahweh, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'
10 Israeli vahepintiro rurega vahe'ma enemanisia vahe'mo'zo korama nesage'na, Nagra anama korama nesia vahera namefi hunemi'na vahe'niafintira ahenatitregahue.
Na Mtu yeyote wa Israeli, au yeyote wa Wageni anayeishi miongoni mwao, ambaye hunywa damu; nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
11 Na'ankure korampi asimu'ma erino mani'zana me'ne. Ana hu'negu kumite'ma nona huno apasente'zana koranuti Nagritera ofa hugahaze. E'ina hu'neankino koranuti kumimofo nona huno asimura amigahie.
Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake. Nimeitoa damu yake kwenu kufanya upatanisho juu ya madhabahu kwa ajili ya uhai wenu, kwa sababu ni damu ndiyo ifanyayo upatanisho, kwa kuwa ni damu ipatanishayo kwa ajili ya uhai
12 E'ina hu'negu Israeli vahe'ene ruregati vahe'ma tamagranema emani'naza vahe'motanena korana oneho hu'na nehue.
Kwa hiyo Niliwaambia Watu wa Israeli kwamba hayupo miongoni mwenu impasaye kula damu, wala yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu atakaye kula damu.
13 Israeli vahe'mo'zo ruregati vahe'ma tamagranema emani'nesaza vahe'mo'zanema zagagafao namama ahe'za nesu'za, korama'a mopafi tagitre'za mopanu refiteho.
Na yeyote miongoni mwa watu wa Israeli, au yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu ni lazima aimwage damu ya mnyama na kuifukia hiyo damu kwa mafumbi.
14 Na'ankure asimu'ma anteno mani'nea zagaramimofona asimura korampi me'ne. E'i ana agafare Israeli vahekura korana oneho hu'noankino, iza'o korama nesimofona Israeli vahepintira ahegasopegahaze.
Kwa kuwa uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Ni kwa sababu hii niliwaambia watu wa Israeli, ni lazima msile damu ya kiumbe cho chote, kwa kuwa maisha ya kila kiumbe chenye uhai ni damu yake. Yeyeote ailaye ni lazima akatiliwe mbali.
15 Hagi Israeli vahero, ruregati vahe'ma tamagranema emani'nesaza vahe'mo'zama fri'nesia zagagafao, afi zagagafamo aheno traga hu'nesia zagagafama nesimo'a, kukena'a sese nehuno, timpi ti freteno agru osu mani'nenkeno vuno kinagasenkeno agrua hugahie.
Mtu yeyote alaye mnyama aliyekufa au ambaye amelaruliwa na wanyama pori, ama yule mtu ni mwenyeji wa kuzaliwa au ni mgeni aishiye miongoni mwenu, ni lazima atazifua nguo zake na kujiosha katika maji, naye atakuwa najisi hata jioni. Kisha atakuwa safi.
16 Ana hu'neanagi kukena'ama sese osuno, timpima tima ofresimo'a, agra'a anazamofo knazana erigahie.
Lakini kama hazifui nguo zake au kuosha mwili wake, ni lazima aichukue hatia yake”.

< 3 Mose 17 >