< 詩篇 108 >
1 ダビデの歌、さんび 神よ、わが心は定まりました。わが心は定まりました。わたしは歌い、かつほめたたえます。わが魂よ、さめよ。
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 立琴よ、琴よ、さめよ。わたしはしののめを呼びさまします。
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 主よ、わたしはもろもろの民の中であなたに感謝し、もろもろの国の中であなたをほめたたえます。
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 あなたのいつくしみは大きく、天にまでおよびあなたのまことは雲にまで及ぶ。
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 神よ、みずからを天よりも高くし、みさかえを全地の上にあげてください。
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 あなたの愛される者が助けを得るために、右のみ手をもって救をほどこし、わたしに答えてください。
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 神はその聖所で言われた、「わたしは大いなる喜びをもってシケムを分かち、スコテの谷を分かち与えよう。
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 ギレアデはわたしのもの、マナセもわたしのものである。エフライムはわたしのかぶと、ユダはわたしのつえである。
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 モアブはわたしの足だらい、エドムにはわたしのくつを投げる。ペリシテについては、かちどきをあげる」。
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 だれがわたしを堅固な町に至らせるであろうか。だれがわたしをエドムに導くであろうか。
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 神よ、あなたはわれらを捨てられたではありませんか。神よ、あなたはわれらの軍勢と共に出て行かれません。
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 われらに助けを与えて、あだにむかわせてください。人の助けはむなしいからです。
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 われらは神によって勇ましく働きます。われらのあだを踏みにじる者は神だからです。
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.