< 哀歌 5 >

1 主よ、われわれに臨んだ事を覚えてください。われわれのはずかしめを顧みてください。
Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
2 われわれの嗣業は他国の人に移り、家は異邦人のものとなった。
Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
3 われわれはみなしごとなって父はなく、母はやもめにひとしい。
Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
4 われわれは金を出して水を飲み、価を払って、たきぎを獲なければならない。
Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
5 われわれは首にくびきをかけられて追い使われ、疲れても休むことができない。
Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
6 われわれは足りるだけの食物を獲るために、エジプトおよびアッスリヤに手をさし伸べた。
Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
7 われわれの先祖は罪を犯して、すでに世になく、われわれはその不義の責めを負っている。
Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
8 奴隷であった者がわれわれを治めるが、われわれをその手から救い出す者がない。
Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
9 われわれは荒野のつるぎのゆえに、おのが命をかけて食物を獲る。
Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
10 われわれの皮膚は飢餓の激しい熱のために、炉のように熱い。
Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
11 女たちはシオンで犯され、おとめたちはユダの町々で汚された。
Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
12 君たる者も彼らの手でつるされ、長老たちも尊ばれず、
Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
13 若者たちは、ひきうすをになわせられ、わらべたちは、たきぎを負って、よろめき、
Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
14 長老たちは門に集まることをやめ、若者たちはその音楽を廃した。
Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
15 われわれの心の喜びはやみ、踊りは悲しみに変り、
Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
16 われわれの冠はこうべから落ちた。わざわいなるかな、われわれは罪を犯したからである。
Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
17 このために、われわれの心は衰え、これらの事のために、われわれの目はくらくなった。
Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
18 シオンの山は荒れはて、山犬がその上を歩いているからである。
maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
19 しかし主よ、あなたはとこしえに統べ治められる。あなたの、み位は世々絶えることがない。
Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
20 なぜ、あなたはわれわれをながく忘れ、われわれを久しく捨ておかれるのですか。
Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
21 主よ、あなたに帰らせてください、われわれは帰ります。われわれの日を新たにして、いにしえの日のようにしてください。
Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
22 あなたは全くわれわれを捨てられたのですか、はなはだしく怒っていられるのですか。
vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.

< 哀歌 5 >