< Maatosa 12 >
1 Hesappe guye Yesusay sambata galas kaththa gidora adhi bidess. Iza kalizaytikka gafida gish tiya duthidi shigechi muus oykidda.
Wakati huo Yesu alienda siku ya sabato kupitia mashambani. Wanafunzi wake walikuwa na njaa na wakaanza kuyavunja masuke na kuyala.
2 Parisaweti hessa beyidi Yesusa “hekko nena kalizayti sambata galas oothistanas besontaysa oothetess gidda.”
Lakini Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu “Angalia wanafunzi wako wanavunja sheria wanatenda siku yasiyo yuhusiwa siku ya Sabato''
3 Izikka istas zaridi “Dawiteyinne izara diza asati gafida wode izi ay othidakkone nababibeyketi?
Lakini Yesu akawaambia, “Hamjasoma jinsi Daudi aliyoyafanya, wakati alipokuwa na njaa, pamoja na watu aliokuwa nao?
4 Xoossa keth gelidi qesistappe attin Dawiteyne izara dizayti bochanas besonta dumma uketh midess.
Namna alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu na kula mikate ya wonyesho, ambayo ilikuwa siyo halali kwake kuila na wale aliokuwa nao, ila halali kwa Makuhani?
5 Woykko qeseti sambata sharidi meqidess gidon otho othikko moro gidontaysa ooritte wogappe nababibeyketi?
Bado hamjasoma katika sheria, kwamba katika siku ya Sabato Makuhani ndani ya hekalu huinajisi Sabato, lakini hawana hatia?
6 Gidikkokka ta intess gizay meqdeseppe adhizadey han dess.
Lakini nasema kwenu kuwa aliye mkuu kuliko hekalu yuko hapa.
7 “Yarsho gidonta ta maroteth dosays” giza qaalay ay gusukunne inte erizakko xillota bolla pirdekistakkoshin
Kama mngalijua hii ina maanisha nini; nataka rehema na siyo dhabihu; msingaliwahukumu wasio na hatia,
8 asa nay sanbatas godda” gidees.
Kwa kuwa Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
9 Heppe izi gede adhishe ista mukurabe gelidess.
Kisha Yesu akatoka pale akaenda katika sinagogi lao.
10 Henikka issi kushe silidadey dess. Yesuusa kasasanas gasso koyidi “sambata galas pathanas besize?” gidi iza oychidess.
Tazama kulikuwa na mtu aliyepooza mkono. Mafarisayo wakamuuliza Yesu, wakisema. “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?” ili kwamba waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi.
11 Izikka ista “inteppe isadde dorsi sambata galas olan gilikko ba dorssa izi gelidi ollafe gochi kessi erene?
Yesu akawaambia, “Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja, na huyu kondoo akaanguka ndani ya shimo siku ya sabato, hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo?
12 Histikko assi dorssappe kehi adhene? hessa gish sambata galas lo7o oothoy digetena” gidess.
Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo! Kwa hivyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.''
13 Addeza “ne kushe pidisa” gidess, addezikka ba kushe pidisin hinkko kusheza mala paxa gididees.
Kisha Yesu akamwambia yule mtu,” Nyoosha mkono wako” Akaunyoosha, na ukapata afya, kama ule mwingine.
14 Giddo atin parsaweti heppe kezidine Yesuusa wosti oyki wodhanakone ba garsan zoretidda.
Lakini Mafarisayo wakatoka njena wakapanga jinsi ya kumwangamiza walienda nje kupanga kinyume chake. Walikuwa wakitafuta jinsi ya kumuua.
15 Yesusay ista qohaaththaa eridi heppe haraso deesh gidess. Daro derey iza kalidess harganchatakka wursi pathidess.
Yesu alipoelewa hili aliondoka hapo. Watu wengi walimfuata, na akawaaponya wote.
16 Izi onakone asas yotonta mala ista azazidess.
Aliwaagiza wasije wakamfanya afahamike kwa wengine,
17 Hesikka haniday nabe Isayasan “Ta doridayne ta izan ufa7etiza ta nay haysich; ta ayanappe ta iza bolla wothana, izikka amanonta deretas tumu pirda awajana, oyetena, woykko wassena. Izas qalaykka karen siyetena, Tuma pirda xonos gathana gakanas tinceti utida shomboqokka menthenane cuwatiza muqadakka toysena, amanonta dereti iza ufaysan nagana” getetidi yotetida tinbite qalay polistana.
kwamba itimie ile kweli, iliyokuwa imesemwa na nabii Isaya, akisema,
Tazama, mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, katika yeye nafsi yangu imependezwa. Nitaweka Roho yangu juu yake, na atatangaza hukumu kwa Mataifa.
Hatahangaika wala kulia kwa nguvu; wala awaye yote kusikia sauti yake mitaani.
Hatalivunja tete lililochubuliwa; hatazima utambi wowote utoao moshi, mpaka atakapoleta hukumu ikashinda.
Na Mataifa watakuwa na ujasiri katika jina lake.
22 Hessappe guye daydanthi oykin xelanasine hasa7anas dayda7onta issi ura Yesusakko ekki yida. Yesusaykka iza pathin addezi xelanassine hasa7anas dandaydess.
Mtu fulani kipofu na bubu, aliyepagawa na pepo aliletwa mbele ya Yesu. Akamponya, pamoja na matokeo ya kwamba mtu bubu alisema na kuona.
23 Assay wurikka malaletidi “haysi addezi Dawite nasha?” gidess.
Makutano wote walishangaa na kusema,”Yaweza mtu huyu kuwa mwana wa Daudi?”
24 Giddo atin parsaweti hessa siyda wode “Haysi addezi daydanth kesizay daydantha halaqa bi7el zebula wolqan xala gidanas besses” gida.
Lakini pindi Mafarisayo waliposikia muujiza huu, walisema, “Huyu mtu hatoi pepo kwa nguvu zake mwenyewe isipokuwa kwa nguvu za Belzebuli, mkuu wa pepo.
25 Yesusay ista qofa eridi “ba garsan isay issappe shaketiza kawotethi wurikka kundana, ba garsan shaketiza katamay woykko ketha assi minena.
“Lakini Yesu alifahamu fikra zao na kuwaambia, “Kila ufalme uliogawanyika wenyewe huharibika, na kila mji au nyumba inayogawanyika yenyewe haitasimama.
26 Xala7ey Xala7e kesiza gidkko Xala7ey ba garasan shaketidess gusa. Hessatho hanikko iza kawotethi wani minana danda7ize?
Ikiwa Shetani, atamwondoa Shetani, basi anajipinga katika nafsi yake mwenyewe.
27 Tani bi7el zebula wolqan kesiza gidikko inte nayti aza woliqan kesane? Hessa gish inte nayti inte bolla pirdana.
Ni namna gani ufalme wake utasimama? Na kama natoa pepo kwa nguvu za Belizabuli, wafuasi wenu huwatatoa kwa nija ya nani? Kwa ajili ya hili watakuwa mahakimu wenu.
28 Gido atin tani daydanth kesizay Xoossa ayanan gidikko Xoossa kawotethi intekko yidess gussa.
Na kama natoa pepo kwa nguvu za Roho wa Mungu, basi ufalme wa Mungu umekjua kwenu.
29 Woykko issi uray wolqara dizade keth gelidi mishe bonqana koyikko kasetidi he wolqara dizadeza oyki qashonta wosti bonqane? Qachidappe guye bonqana dandayes.
Na mtu atawezaje kuingia ndani ya nyumba ya mwenye nguvu na kuiba, bila kumfunga mwenye nguvu kwanza? Ndiyo atakapoiba mali yake kutoka ndani ya nyumba.
30 Tanara gidontadey tanara eqetes, tanara issippe shishonta uray wurikka lales.
Yeyote asiye kuwa pamoja nami yuko kinyume changu, naye asiye kusanya pamoja nami huyo hutawanya.
31 Hessa gish ta intess tumu gays nagara othoyne cashi wuri asas ato getistana shin Xillo ayana cayida uray maretena.
Kwa hiyo nasema kwenu, kila dhambi na kufuru watu watasamehewa, ila kumkufuru Roho Mtakatifu hawatasamehewa.
32 Ay assikka asa na bolla hasa7iza iitta qaalay maristana shin Xillo Ayana bolla hasa7iza iita qaalay gidikko hayssa ha woden gidin woykko buro yana woden gidin maroy deena. (aiōn )
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn )
33 Mithi wuri ayfen eretizaysa mala inte lo7o ayfe demana mala intes lo7o mithi deyo, intes iita mithi diza gidikko inte ita ayfe ekkana.
Ama ufanye mti kuwa mzuri na tunda lake zuri, au uuharibu mti na tunda lake, kwa kuwa mti hutambulika kwa tunda lake.
34 Inteno marzera diza shoshato inteni iitata gidi utidi wosti lo7o hasa7anas dandayeti? Ulo garsan kumidazi dunara hasa7etess.
Nyinyi kizazi cha nyoka, nyie ni waovu, mnawezaje kusema mambo mazuri? Kwa kuwa kinywa hunena kutoka katika akiba ya yaliyomo moyoni.
35 Lo7o assi ba wozinan kunthi wothida lo7o yooppe lo7o hasa7es, iitta assikka ba wozinan kunthi wothidda itatethappe iitta yo kesses.
Mtu mwema katika akiba njema ya moyo wake hutoka mema, na mtu mwovu katika akiba ovu ya moyo wake, hutoa kilicho kiovu.
36 Gido atin ta intess gizay asay ba hasa7ida hada qaala wurso gish pirda galas wurikka oychistana.
Nawaambia kuwa katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu ya kila neno lisilo na maana walilosema.
37 Gassoykka ne qalappe dendidaysan ne xilada atanane ne qalappe dendidaysan ne bolla pirdistana
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa.”
38 Hessappe guye issi issi Musse woga tamarsizaytine parsaweti Yesusa “astamare, nu neppe malalsiza malata beyanas koyos” gida.
Kisha baadhi ya waandishi na Mafarisayo walimjibu Yesu wakisema” Mwalimu, tungependa kuona ishara kutoka kwako.”
39 Izi istass zaridi “ha iitane layma yeletay malata oyches gido attin nabbe Yoonasa malatappe atin hara malatay imetena” gidess.
Lakini Yesu alijibu na kuwaambia, “Kizazi kiovu na cha zinaa kinatafuta ishara. Lakini hakuna ishara itakayotolewa kwao isipokuwa ile ishara ya Yona nabii.
40 Yoonasay gita mole ulo giidon heedzdzu qamane hezu galas gami7ida mala asa nay hezu galasine hezu qamma bitta ulon gam7ana.
Kama vile nabii Yona alivyokuwa ndani ya tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku, hivyo ndivyo Mwana wa Adam atakavyo kuwa ndani ya moyo wa nchi kwa siku tatu mchana na usiku.
41 Nanawe asay pirda galas hayssa ha yeletara dendidi ha yeleta bolla pirdana; gasoykka Nanawe asay Yoonaasa markatethan maroteth gelida gishasa. Hekko Yoonaasappe adhizadey han dees.
Watu wa Ninawi watasimama mbele ya hukumu pamoja na kizazi cha watu hawa na watakihukumu. Kwa kuwa walitubu kwa mahubiri ya Yona, na tazama, mtu fulani mkuu kuliko Yona yuko hapa.
42 Dugge baga dere kawoya Solomoone erateth siyanas bitta gaxappe dendada yidda gish pirda galas iza hayssa yeletethara dendada ha yeletetha bolla pirdana. Hekko Solomooneppe adhizadey hayssan dess.
Malkia wa kusini atainuka kwenye hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki na kukihukumu. Alikuja toka miisho ya dunia kuja kusikia hekima ya Selemani, na tazama, mtu fulani mkuu kuliko Selemani yupo hapa.
43 Tuna ayanay asappe kezidi sheemppo demanas hathi baynda mela bitan dabures, gido attin ba koyiza shemppo demena.
Wakati pepo mchafu amtokapo mtu, hupita mahali pasipo na maji akitafuta kupumzika, lakini hapaoni
44 Hessappe qasse kasse ta dizaso siimma bana gidi beniso izi simishin kasse izi dizasoy aykoyne baynda mela keth gididi geyidine gigeti dizaysa deemess.
Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niliyotoka.' Arudipo hukuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari.
45 Hessafe bidi hara beppe itiza lapun iitta ayanata benara ekidi yeess. Istika he uran gelidi deyana. He uras kasse dusafe guye dusay iita gidana. Haysa iitta yeletethaskka hessa mala hanana.
Kisha huenda na kuwaleta wengine roho wachafu saba walio wabaya zaidi kuliko yeye, huja kuishi wote pale. Na hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Hivyo ndivyo itakavyo kuwa kwa kizazi hiki kiovu.
46 Yesusay asas yotishin iza ayiyane ishati iza yochana koyidi karen eeqidashe;
Wakati Yesu alipokuwa akizungumza na umati tazama, mama yake na ndugu zake walisimama nje, wakitafuta kuongea naye.
47 Issi uray hekko ne ayane ne ishati nena hasa7isanas karen eeqidi nena koyetes gidess.
Mtu mmoja akamwambia, “Tazama mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanatafuta kuongea nawe”.
48 Yesusaykka ta aya oone? ta ishatich isti oonante? gidess.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia aliyemjulisha, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?”
49 Be kushera bena kalizaytakko malatidi, ta ayane ta ishati haytanta.
Naye alinyoosha mkono wake kwa wanafunzi na kusema, “Tazama, hawa ni mama na ndugu zangu!
50 Salon diza ta aawa shene othizayti wurikka tass isha michchonne ayo gidess.
Kwa kuwa yeyote afanyae mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, mtu huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu”.