< Lamentations 1 >

1 Comment est-elle assise solitaire, la ville pleine de peuple? elle est devenue comme veuve, la maîtresse des nations; la reine des provinces a été assujettie au tribut.
Tazama jinsi mji ulivyoachwa ukiwa, mji ambao zamani ulikuwa umejaa watu! Jinsi ambavyo umekuwa kama mama mjane, ambaye wakati fulani alikuwa maarufu miongoni mwa mataifa! Yule ambaye alikuwa malkia miongoni mwa majimbo sasa amekuwa mtumwa.
2 Pleurant, elle a pleuré pendant la nuit, et ses larmes coulent sur ses joues; et il n’est personne qui la console, parmi ceux qui lui étaient chers; tous ses amis l’ont méprisée et sont devenus ses ennemis.
Kwa uchungu, hulia sana usiku, machozi yapo kwenye mashavu yake. Miongoni mwa wapenzi wake wote hakuna yeyote wa kumfariji. Rafiki zake wote wamemsaliti, wamekuwa adui zake.
3 Juda a émigré à cause de son affliction et de la grandeur de son esclavage: il a habité parmi les nations, et n’a pas trouvé de repos: ses persécuteurs l’ont saisi dans ses angoisses.
Baada ya mateso na kufanyishwa kazi kikatili, Yuda amekwenda uhamishoni. Anakaa miongoni mwa mataifa, hapati mahali pa kupumzika. Wote ambao wanamsaka wamemkamata katikati ya dhiki yake.
4 Les voies de Sion sont en deuil, de ce qu’il n’y a personne qui vienne pour une solennité; toutes ses portes sont détruites; ses prêtres gémissent, ses vierges sont défigurées; elle-même est plongée dans l’amertume.
Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza, kwa kuwa hakuna yeyote anayekuja kwenye sikukuu zake zilizoamriwa. Malango yake yote yamekuwa ukiwa, makuhani wake wanalia kwa uchungu, wanawali wake wanahuzunika, naye yuko katika uchungu wa maumivu makuu.
5 Ses ennemis sont devenus maîtres, ses adversaires se sont enrichis, parce que le Seigneur a parlé contre elle à cause de la multitude de ses iniquités; ses petits enfants ont été emmenés en captivité devant la face de celui qui les tourmentait.
Adui zake wamekuwa mabwana zake, watesi wake wana raha. Bwana amemletea huzuni kwa sababu ya dhambi zake nyingi. Watoto wake wamekwenda uhamishoni, mateka mbele ya adui.
6 Toute la beauté de la fille de Sion s’est retirée d’elle; ses princes sont devenus comme des béliers ne trouvant pas de pâturages; ils s’en sont allés sans force devant la face de celui qui les poursuivait.
Fahari yote imeondoka kutoka kwa Binti Sayuni. Wakuu wake wako kama ayala ambaye hapati malisho, katika udhaifu wamekimbia mbele ya anayewasaka.
7 Jérusalem s’est souvenue des jours de son affliction, et de la prévarication de toutes les choses précieuses qu’elle avait eues dès les jours anciens, lorsque son peuple tombait sous une main ennemie et qu’il n’avait pas de défenseur; ses ennemis l’ont vue, et ils se sont moqués de ses sabbats.
Katika siku za mateso yake na kutangatanga, Yerusalemu hukumbuka hazina zote ambazo zilikuwa zake siku za kale. Wakati watu wake walipoanguka katika mikono ya adui, hapakuwepo na yeyote wa kumsaidia. Watesi wake walimtazama na kumcheka katika maangamizi yake.
8 Elle a beaucoup péché, Jérusalem; à cause de cela elle est
Yerusalemu ametenda dhambi sana kwa hiyo amekuwa najisi. Wote waliomheshimu wanamdharau, kwa maana wameuona uchi wake. Yeye mwenyewe anapiga kite na kugeukia mbali.
9 Ses souillures ont paru sur ses pieds, et elle ne s’est pas souvenue de sa fin; elle a été prodigieusement abaissée, n’ayant pas de consolateur; voyez, Seigneur, mon affliction, parce que l’ennemi s’est élevé.
Uchafu wake umegandamana na nguo zake; hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye. Anguko lake lilikuwa la kushangaza, hapakuwepo na yeyote wa kumfariji. “Tazama, Ee Bwana, teso langu, kwa maana adui ameshinda.”
10 L’ennemi a porté la main sur toutes ses choses précieuses; et elle a vu des nations entrer dans son sanctuaire, nations au sujet desquelles vous aviez ordonné quelles n’entreraient pas dans votre assemblée.
Adui ametia mikono juu ya hazina zake zote, aliona mataifa ya kipagani wakiingia mahali patakatifu pake, wale uliowakataza kuingia kwenye kusanyiko lako.
11 Tout son peuple est gémissant et cherchant du pain; ils ont donné toutes leurs choses précieuses pour une nourriture qui ranimât leur âme. Voyez, Seigneur, et considérez combien je suis avilie.
Watu wake wote wanalia kwa uchungu watafutapo chakula; wanabadilisha hazina zao kwa chakula ili waweze kuendelea kuishi. “Tazama, Ee Bwana, ufikiri, kwa maana nimedharauliwa.”
12 Ô vous tous qui passez par la voie, prêtez attention, et voyez s’il est une douleur comme ma douleur; parce que le Seigneur, comme il l’a dit, m’a vendangée au jour de la colère de sa fureur.
“Je, si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando? Angalieni kote mwone. Je, kuna maumivu kama maumivu yangu yale yaliyotiwa juu yangu, yale Bwana aliyoyaleta juu yangu katika siku ya hasira yake kali?
13 D’en haut il a envoyé un feu dans mes os, et il m’a châtiée; il a tendu un fil à mes pieds, et il m’a fait tomber en arrière, il m’a rendue désolée, accablée de chagrin tout le jour
“Kutoka juu alipeleka moto, akaushusha katika mifupa yangu. Aliitandia wavu miguu yangu na akanirudisha nyuma. Akanifanya mkiwa, na mdhaifu mchana kutwa.
14 Le joug de mes iniquités s’est éveillé; elles ont été roulées dans sa main, et imposées sur mon cou; ma force s’est affaiblie; le Seigneur m’a livrée à une main dont je ne pourrai sortir.
“Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira, kwa mikono yake zilifumwa pamoja. Zimefika shingoni mwangu na Bwana ameziondoa nguvu zangu. Amenitia mikononi mwa wale ambao siwezi kushindana nao.
15 Le Seigneur a enlevé du milieu de moi tous mes hommes illustres; il a appelé contre moi le temps afin de briser mes élus; le Seigneur a foulé le pressoir pour la vierge fille de Juda.
“Bwana amewakataa wapiganaji wa vita wote walio kati yangu, ameagiza jeshi dhidi yangu kuwaponda vijana wangu wa kiume. Katika shinikizo lake la divai Bwana amemkanyaga Bikira Binti Yuda.
16 C’est pour cela que moi je pleure, et que mon œil a fait couler des eaux; parce qu’il s’est éloigné de moi, le consolateur qui devait faire revenir mon âme; mes fils sont perdus, parce que l’ennemi est devenu le plus fort.
“Hii ndiyo sababu ninalia na macho yangu yanafurika machozi. Hakuna yeyote aliye karibu kunifariji, hakuna yeyote wa kuhuisha roho yangu. Watoto wangu ni wakiwa kwa sababu adui ameshinda.”
17 Sion a étendu ses mains, il n’y a personne qui la console; le Seigneur a appelé de tous côtés contre Jacob ses ennemis; Jérusalem est devenue au milieu d’eux comme une femme souillée par ses mois.
Sayuni ananyoosha mikono yake, lakini hakuna yeyote wa kumfariji. Bwana ametoa amri kwa ajili ya Yakobo kwamba majirani zake wawe adui zake; Yerusalemu umekuwa kitu najisi miongoni mwao.
18 Le Seigneur est juste, parce que j’ai provoqué sa bouche au courroux; écoutez, je vous en conjure, vous tous, peuples, et voyez ma douleur; mes vierges et mes jeunes hommes sont allés en captivité.
“Bwana ni mwenye haki, hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake. Sikilizeni, enyi mataifa yote, tazameni maumivu yangu. Wavulana wangu na wasichana wangu wamekwenda uhamishoni.
19 J’ai appelé mes amis et ils m’ont trompée; mes prêtres et mes vieillards ont été consumés dans la ville, lorsqu’ils ont cherché de la nourriture pour ranimer leur âme.
“Niliita washirika wangu lakini walinisaliti. Makuhani wangu na wazee wangu waliangamia mjini walipokuwa wakitafuta chakula ili waweze kuishi.
20 Voyez, Seigneur, que je suis dans la tribulation; mes entrailles sont émues; mon cœur est bouleversé au dedans de moi, parce que je suis remplie d’amertume; au dehors le glaive tue; au dedans, c’est de même la mort.
“Angalia, Ee Bwana, jinsi nilivyo katika dhiki! Nina maumivu makali ndani yangu, nami ninahangaika moyoni mwangu, kwa kuwa nimekuwa mwasi sana. Huko nje, upanga unaua watu, ndani, kipo kifo tu.
21 Ils ont appris que je gémis, et qu’il n’y a personne qui me console; tous mes ennemis ont appris mon malheur; ils se sont réjouis, parce que c’est vous qui l’avez fait; vous amènerez le jour de ma consolation, et ils seront semblables à moi.
“Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu, lakini hakuna yeyote wa kunifariji. Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu, wanafurahia lile ulilolitenda. Naomba uilete siku uliyoitangaza ili wawe kama mimi.
22 THAU. Que tout le mal qu’ils ont fait vienne devant vous; et vendangez-les, comme vous m’avez vendangée à cause de toutes mes iniquités; car mes gémissements sont nombreux, et mon cœur est triste.
“Uovu wao wote na uje mbele zako; uwashughulikie wao kama vile ulivyonishughulikia mimi kwa sababu ya dhambi zangu zote. Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi na moyo wangu umedhoofika.”

< Lamentations 1 >