< Job 12 >

1 Et Job, répondant, dit:
Ndipo Ayubu akajibu:
2 Ainsi vous, vous êtes les seuls hommes, et avec vous mourra la sagesse?
“Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
3 J’ai cependant un cœur comme vous, et je ne vous suis pas inférieur; qui, en effet, ignore ce que vous savez?
Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
4 Celui qui est raillé par son ami comme moi invoquera Dieu, et Dieu l’exaucera; car la simplicité du juste est tournée en dérision.
“Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
5 C’est une lampe méprisée dans les pensées des riches, mais préparée pour un temps marqué.
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
6 Les tentes des voleurs sont dans l’abondance, et ils provoquent audacieusement Dieu, quoique ce soit lui qui ait mis toutes choses en leurs mains.
Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
7 Certes, interroge les bêtes, et elles te l’enseigneront; et les volatiles du ciel, et ils te l’indiqueront.
“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
8 Parle à la terre, et elle te répondra; et les poissons de la mer te le raconteront.
au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
9 Qui ignore que la main du Seigneur a fait toutes ces choses?
Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
10 C’est dans sa main qu’est l’âme de tout vivant, et l’esprit de toute chair d’homme.
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
11 Est-ce que l’oreille ne discerne pas les paroles, et le palais de celui qui mange la saveur des aliments?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
12 Dans les vieillards est la sagesse, et dans une longue vie la prudence.
Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
13 En Dieu sont la sagesse et la force; c’est lui qui possède le conseil et la prudence.
“Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
14 S’il détruit, il n’y a personne pour édifier; s’il enferme un homme, nul ne pourra lui ouvrir.
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
15 S’il retient les eaux, tout se desséchera; et, s’il les lâche, elles ravageront la terre.
Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
16 En lui sont la force et la sagesse: il connaît et celui qui trompe et celui qui est trompé.
Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
17 Il amène les conseillers à une fin insensée, et les juges à l’étourdissement.
Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
18 Il délie le baudrier des rois, et ceint leurs reins d’une corde.
Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
19 Il fait que les prêtres vont sans gloire, et il renverse les grands;
Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
20 Changeant le langage des hommes véridiques, et enlevant la science des vieillards.
Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
21 Il verse le mépris sur les princes, en relevant ceux qui avaient été opprimés.
Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
22 C’est lui qui découvre les profondeurs des ténèbres, et produit à la lumière l’ombre de la mort.
Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
23 C’est lui qui multiplie les nations et les perd, et qui, après les avoir renversées, les rétablit entièrement.
Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
24 C’est lui qui change le cœur des princes du peuple de la terre; qui les trompe, afin qu’ils marchent par où il n’y a point de voie.
Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
25 Ils tâtonneront comme dans les ténèbres, et ils ne marcheront pas à la lumière, et il les fera chanceler comme des hommes ivres.
Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.

< Job 12 >