< Jérémie 42 >

1 Et s’approchèrent tous les princes des hommes de guerre, Johanan, fils de Carée, et Jézonias, fils d’Osaïas, et tout le reste du peuple, depuis le petit jusqu’au grand;
Kisha amri wote wa jeshi na Yonathan mwana wa Karea, Jezania mwana wa Hoshaia, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa walimkaribia Yeremia nabii.
2 Et ils dirent à Jérémie, le prophète: Que notre prière tombe en ta présence; et prie pour nous le Seigneur ton Dieu pour tous ces restes, parce que nous avons été laissés un petit nombre d’un bien plus grand, comme les yeux nous voient;
Walisema naye, “Acha maombi yetu yaje mbele yako. Omba kwa ajili yetu kwa Yahwe Mungu wako kwa ajili ya watu hawa ambao wanabaki kwani tuko wachache katika idadi, kama unavyoona.
3 Et que le Seigneur ton Dieu nous annonce la voie par laquelle nous devons marcher, et la parole que nous devons accomplir.
Muulize Yahwe Mungu wako atuambia sisi njia yakuendea na nini tufanye.”
4 Or Jérémie, le prophète, leur dit: J’ai entendu; voici que moi je prie le Seigneur votre Dieu, selon vos paroles; toute parole quelconque qu’il me répondra, je vous la ferai connaître, et je ne vous cacherai rien.
Basi Yeremia nabii alisema nao, “Nimewasikia, Tazama, Nitaomba kwa Yahwe Mungu wenu kama mlivyoomba. Vyovyote Yahwe ananijibu, Nitawambia. Sitawaficha chochote ninyi.”
5 Et ceux-ci dirent à Jérémie: Que le Seigneur soit entre nous témoin de la vérité et de notre bonne foi, si nous n’agissons pas conformément à toute parole avec laquelle le Seigneur ton Dieu t’aura envoyé vers nous.
Walisema na Yeremia, “Na Yawhe awe shahidi mkweli na mwaminifu dhidi yenu, kama hatutafanya kila kitu ambacho Yahwe Mungu wenu anatuambia kufanya.
6 Soit bonne, soit défavorable, nous obéirons à la voix du Seigneur notre Dieu, vers qui nous t’envoyons, afin que bien nous soit, lorsque nous aurons écouté la voix du Seigneur notre Dieu.
Hata kama ni vizuri au vibaya, tutatii sauti ya Yahwe Mungu wetu, ambaye tunawatuma ninyi, ili kwamba iwe vizuri pamoja nasi wakati tunatii sauti ya Yahwe Mungu wetu.”
7 Or, lorsque dix jours eurent été accomplis, la parole du Seigneur fut adressée à Jérémie.
Basi ilitokea kwamba baada ya siku kumi, neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia.
8 Et il appela Johanan, fils de Carée, tous les princes des Sommes de guerre qui étaient avec lui et tout le peuple, depuis le plus petit jusqu’au grand.
Kwa hiyo Yeremia alimwita Yonathan mwana wa Karea na amri wote jeshi pamoja naye, na watu wote kutoka mdogo kwa mkubwa.
9 Et il leur dit: Voici ce que di t le Seigneur, Dieu d’Israël, vers qui vous m’avez envoyé afin de répandre vos prières en sa présence:
Na alisema nao, “Yahwe, Mungu wa Israel, ambaye umenituma mimi ili niweze kuweka maombi yako mbele zake. Yahwe asema hivi,
10 Si vous demeurez en repos dans cette terre, je vous édifierai, et je ne détruirai pas; je planterai, et je n’arracherai pas; car je suis apaisé par le mal que je vous ai fait.
Kama mtarudi na kuishi katika nchi hii, basi nitawajenga na sitawararua chini; Nitapanda na sitawangoa, kwa kuwa nitageuza maafa ambayo nimeleta juu yako.
11 Ne craignez pas la face du roi de Babylone, que tremblants d’effroi vous redoutez; ne le craignez pas, dit le Seigneur, parce que moi je suis avec vous, afin de vous sauver, et de vous tirer de sa main.
Msimugope mfalme wa Babeli, ambaye mnamuogopa. Msimuogope-hili ni tamko la Yahwe kwani niko pamoja nanyi kuwahifadhi na kuwaokoa toka mkono wake.
12 Et je vous donnerai mes miséricordes et j’aurai pitié de vous, et je vous ferai habiter dans votre terre.
Kwa kuwa nitawapa rehema. Nitakuwa na huruma juu yenu, na nitawarudisha kwenye nchi yenu.
13 Mais si vous dites: Nous n’habiterons pas dans cette terre, et nous n’écouterons pas la voix du Seigneur notre Dieu,
Lakini tudhani kusema kwamba, “Hatutakaa katika nchi hii”- kama hamtasikiliza sauti yangu, sauti ya Yahwe Mungu wenu.
14 Disant: En aucune manière; mais nous irons dans la terre d’Egypte, où nous ne verrons pas la guerre, où nous n’entendrons pas le bruit de la trompette, où nous ne souffrirons pas la faim, et nous y habiterons:
Tudhani kwamba mnasema, “Hapana! Tutaenda kwenye nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita yoyote, ambayo hatutasikia sauti ya tarumbeta, na hatutaona njaa ya chakula. Tutaishi huko.”
15 À cause de cela, écoutez maintenant la parole du Seigneur, restes de Juda. Voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Si vous tournez votre face afin d’entrer en Egypte, et que vous y entriez pour y habiter,
Sasa sikiliza neno hili la Yahwe, wewe mabaki ya Yuda. Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Kama kweli mtatoka kwenda Misri, kwenda na kuishi huko,
16 Le glaive, que vous redoutez, vous atteindra là, dans la terre d’Egypte; et la famine, au sujet de laquelle vous êtes inquiets, s’attachera à vous en Egypte, et vous y mourrez.
basi upanga ambao mnauogopa utawapita huko kwenye nchi ya Misri. Njaa ambayo mnawasiwasi nayo itawafatilia huko Misri. Na mtakufa huko.
17 Et tous les hommes qui ont tourné leurs faces afin d’entrer en Egypte et d’y habiter seront détruits par le glaive, et par la famine, et par la peste; et nul d’entre eux ne demeurera, et n’échappera à la face du mal que moi j’amènerai sur eux.
Basi itatokea kwamba wanaume wote waliondoka kwenda Misri kuishi huko watakufa kwa upanga, njaa, au pigo. Hapatakuwa na mwathirika wao, hakuna atakayetoroka maafa ambayo nitaleta juu yao.
18 Parce que voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Comme ma colère et ma fureur se sont allumées contre les habitants de Jérusalem, ainsi s’allumera contre vous mon indignation, lorsque vous serez entrés en Egypte; et vous serez en exécration, en stupeur, en malédiction et en opprobre; et jamais plus vous ne verrez ce lieu.
Kwa kuwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Kama gadhabu yangu na hasira yangu imemwanga juu ya wakazi wa Yerusalem, kwa njia hiyo hasira yangu itamwangwa juu yenu kama mtaenda Misri. Mtakuwa sababu ya hasira na hofu, sababu la kuzungumza laana, na kitu kisichokuwa na heshima. Na hamtaona eneo hili tena.”
19 Voici la parole du Seigneur sur vous, restes de Juda: N’entrez pas en Egypte; sachant, vous saurez que je vous ai protesté aujourd’hui,
Basi Yeremia alisema, “Yahwe amezungumza kuhusu ninyi - mabaki ya Yuda. Msiende Misri! Unajua kwa hakika kwamba nimekuwa shahidi dhidi yenu leo.
20 Que vous avez trompé vos âmes; car c’est vous qui m’avez envoyé vers le Seigneur notre Dieu, disant: Prie pour nous le Seigneur notre Dieu; et tout ce que t’aura dit le Seigneur notre Dieu, annonce-nous-le, et nous le ferons.
Kwa kuwa mmejidanganya vibaya wenyewe wakati mliponituma mimi kwenda kwa Yahwe Mungu wenu na kusema, 'Omba kwa Yahwe Mungu wetu kwa ajili yetu. Kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema, tuambie, na tutaibeba.'
21 Et je vous l’ai annoncé aujourd’hui, et vous n’avez pas écouté la voix du Seigneur votre Dieu, dans toutes les choses pour lesquelles il m’a envoyé vers vous.
Kwa kuwa nimekwisha toa taarifa kwako leo, lakini hajusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu au kwa chochote kuhusu ambacho alinituma mimi kwako.
22 Maintenant donc, sachant, vous saurez que c’est par le glaive, et par la famine, et par la peste que vous mourrez dans le lieu dans lequel vous avez voulu entrer afin d’y habiter.
Basi sasa, utajua kwa hakika kwamba utakufa kwa upanga, njaa, na pigo katika eneo ambalo ulitamani kwenda kuishi.”

< Jérémie 42 >