< Deutéronome 25 >

1 S’il survient un débat entre quelques hommes, et qu’ils en appellent aux juges, celui qu’ils reconnaîtront pour juste, ils lui donneront la palme de la justice, et celui qu’ils reconnaîtront pour impie, ils le condamneront d’impiété.
Iwapo kutakuwa na malumbano kati ya wanaume na wakaenda mahakamani, na waamuzi wakawahukumu, basi watamwachilia mtakatifu na kumhukumu muovu.
2 Que s’ils jugent celui qui a péché, digne de coups, ils le renverseront, et le feront battre devant eux. C’est selon la mesure du péché, que sera la mesure des coups;
Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa, basi muamuzi atamfanya alale chini na kupigwa mbele zake kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake.
3 En sorte seulement, qu’elle n’excède pas le nombre de quarante, de peur que ton frère ne s’en aille ayant été horriblement déchiré devant tes yeux.
Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini, lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo; kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi, basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu.
4 Tu ne lieras point la bouche d’un bœuf qui foule tes grains dans l’aire.
Haupaswi kumfunga punda wako pua na mdomo anapokuwa akilima shamba lako.
5 Quand deux frères habitent ensemble, et que l’un d’eux meurt sans enfants, que la femme du défunt n’en épouse point un autre; mais le frère de son mari la prendra, et il suscitera des enfants à son frère;
Iwapo kaka wanaishi pamoja na mmoja wao akafariki bila kuwa na mwana, basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu nje ya familia. Badala yake, kaka yake mumewe anapaswa kulala naye na kumchukua kuwa mke wake na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake.
6 Et il appellera le fils premier-né d’elle du nom de son frère, afin que le nom de son frère ne soit pas effacé d’Israël.
Hii ni kwamba mtoto wa kwanza atakayezaliwa arithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki, ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli.
7 Mais s’il ne veut pas prendre la femme de son frère qui lui est due en vertu de la loi, cette femme ira à la porte de la ville, elle s’adressera aux anciens et dira: Le frère de mon mari ne veut pas ressusciter le nom de son frère en Israël, ni me prendre pour femme.
Lakini kama mwanamume hataki kumchukua mke wa kaka yake awe wake, basi mke wa kaka yake anapaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee na kusema, “Kaka wa mume wangu amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake humu Israeli; hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu”.
8 Et aussitôt ils le feront appeler, et ils l’interrogeront. S’il répond: Je ne veux pas la prendre pour femme,
Kisha wazee wa mji wake wanapaswa kumuita na kuzungumza naye. Lakini tuseme atasisitiza na kusema, “Sitaki kumchukua”.
9 La femme s’approchera de lui devant les anciens, et lui ôtera la chaussure de son pied, elle crachera sur sa face, et dira: C’est ainsi qu’il sera fait à l’homme qui n’édifie pas la maison de son frère.
Basi mke wa kaka yake anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee, kumvua ndara zake miguuni mwake, na kumtemea usoni. Anapaswa kumjibu na kusema, “Hivi ndivyo kinachofanyika kwa mwanamume asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake”.
10 Et il sera appelé en Israël du nom de Maison du déchaussé.
Jina lake Israeli litaitwa, “Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake”.
11 Si deux hommes ont une dispute entre eux, et que l’un commence à quereller l’autre, et que la femme de l’un voulant arracher son mari de la main du plus fort, étende la main et saisisse ses parties secrètes,
Iwapo wanamume wamepigana wao kwa wao, na mke wa mmoja wao kaja kumkomboa mumewe dhidi ya yule aliyempiga, naye akanyosha mkono wake na kumshika sehemu za siri,
12 Tu couperas sa main, et tu ne te laisseras fléchir par aucune compassion pour elle.
basi unapaswa kuukata mkono yake; jicho lako halipaswi kuwa na huruma.
13 Tu n’auras point dans ton sachet deux poids, l’un plus gros et l’autre plus petit;
Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo.
14 Et il n’y aura point dans ta maison un boisseau plus grand et un plus petit.
Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo.
15 Tu auras un poids juste et véritable, et il y aura chez toi un boisseau égal et véritable, afin que tu vives longtemps sur la terre que le Seigneur ton Dieu t’aura donnée;
Unatakiwa kuwa na uzito kamili na wa haki; unatakiwa kuwa na vipimo kamili na vya haki, ili siku zako ziwe ndefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupatia.
16 Car le Seigneur ton Dieu a en abomination celui qui fait ces choses, et il déteste toute injustice.
Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki, ni chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
17 Souviens-toi de ce que t’a fait Amalec dans le chemin, quand tu sortais de l’Egypte.
Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako barabarani ulipokuwa ukitoka Misri,
18 Comment il marcha contre toi, et tailla en pièces les derniers de ton armée, qui, fatigués, s’étaient arrêtés, quand toi-même tu étais épuisé de faim et de fatigue, et il ne craignit pas Dieu.
jinsi alivyokutana na wewe barabarani na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma, wale waliokuwa wamelegea nyuma, mlipokuwa dhaifu na kuchoka, hakumheshimu Mungu.
19 Lors donc que le Seigneur ton Dieu t’aura donné le repos, et qu’il t’aura assujetti toutes les nations d’alentour, dans la terre qu’il t’a promise, tu effaceras son nom de dessous le ciel. Prends garde que tu ne l’oublies.
Kwa hiyo, Yahwe Mungu wako atakapowapa pumziko kutoka kwa maadui zako kila sehemu, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kumiliki kama urithi, hautakiwi kusahau kuwa unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu.

< Deutéronome 25 >