< Proverbes 7 >
1 Mon fils, retiens mes paroles, Et garde avec toi mes préceptes.
Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
2 Observe mes préceptes, et tu vivras; Garde mes enseignements comme la prunelle de tes yeux.
Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
3 Lie-les sur tes doigts, Écris-les sur la table de ton cœur.
Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
4 Dis à la sagesse: Tu es ma sœur! Et appelle l’intelligence ton amie,
Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
5 Pour qu’elles te préservent de la femme étrangère, De l’étrangère qui emploie des paroles doucereuses.
ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
6 J’étais à la fenêtre de ma maison, Et je regardais à travers mon treillis.
Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 J’aperçus parmi les stupides, Je remarquai parmi les jeunes gens un garçon dépourvu de sens.
Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 Il passait dans la rue, près de l’angle où se tenait une de ces étrangères, Et il se dirigeait lentement du côté de sa demeure:
Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 C’était au crépuscule, pendant la soirée, Au milieu de la nuit et de l’obscurité.
Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Et voici, il fut abordé par une femme Ayant la mise d’une prostituée et la ruse dans le cœur.
Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 Elle était bruyante et rétive; Ses pieds ne restaient point dans sa maison;
Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Tantôt dans la rue, tantôt sur les places, Et près de tous les angles, elle était aux aguets.
Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 Elle le saisit et l’embrassa, Et d’un air effronté lui dit:
Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
14 Je devais un sacrifice d’actions de grâces, Aujourd’hui j’ai accompli mes vœux.
leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
15 C’est pourquoi je suis sortie au-devant de toi Pour te chercher, et je t’ai trouvé.
hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
16 J’ai orné mon lit de couvertures, De tapis de fil d’Égypte;
Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 J’ai parfumé ma couche De myrrhe, d’aloès et de cinnamome.
Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Viens, enivrons-nous d’amour jusqu’au matin, Livrons-nous joyeusement à la volupté.
Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Car mon mari n’est pas à la maison, Il est parti pour un voyage lointain;
Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 Il a pris avec lui le sac de l’argent, Il ne reviendra à la maison qu’à la nouvelle lune.
Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 Elle le séduisit à force de paroles, Elle l’entraîna par ses lèvres doucereuses.
katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 Il se mit tout à coup à la suivre, Comme le bœuf qui va à la boucherie, Comme un fou qu’on lie pour le châtier,
Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
23 Jusqu’à ce qu’une flèche lui perce le foie, Comme l’oiseau qui se précipite dans le filet, Sans savoir que c’est au prix de sa vie.
mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
24 Et maintenant, mes fils, écoutez-moi, Et soyez attentifs aux paroles de ma bouche.
Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
25 Que ton cœur ne se détourne pas vers les voies d’une telle femme, Ne t’égare pas dans ses sentiers.
Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
26 Car elle a fait tomber beaucoup de victimes, Et ils sont nombreux, tous ceux qu’elle a tués.
Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
27 Sa maison, c’est le chemin du séjour des morts; Il descend vers les demeures de la mort. (Sheol )
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )