< Psalms 135 >

1 Alleluya. Herie ye the name of the Lord; ye seruauntis of the Lord, herie ye.
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 Ye that stonden in the hous of the Lord; in the hallis of `the hous of oure God.
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Herie ye the Lord, for the Lord is good; singe ye to his name, for it is swete.
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 For the Lord chees Jacob to him silf; Israel in to possessioun to him silf.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 For Y haue knowe, that the Lord is greet; and oure God bifore alle goddis.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 The Lord made alle thingis, what euere thingis he wolde, in heuene and in erthe; in the see, and in alle depthis of watris.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 He ledde out cloudis fro the ferthest part of erthe; and made leitis in to reyn. Which bringith forth wyndis fro hise tresours;
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 which killide the firste gendrid thingis of Egipt, fro man `til to beeste.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 He sente out signes and grete wondris, in the myddil of thee, thou Egipt; in to Farao and in to alle hise seruauntis.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Which smoot many folkis; and killide stronge kingis.
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Seon, the king of Ammorreis, and Og, the king of Basan; and alle the rewmes of Chanaan.
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 And he yaf the lond of hem eritage; eritage to Israel, his puple.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Lord, thi name is with outen ende; Lord, thi memorial be in generacioun and in to generacioun.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 For the Lord schal deme his puple; and he schal be preied in hise seruauntis.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 The symulacris of hethene men ben siluer and gold; the werkis of the hondis of men.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 Tho han a mouth, and schulen not speke; tho han iyen, and schulen not se.
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Tho han eeris, and schulen not here; for `nether spirit is in the mouth of tho.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Thei that maken tho, be maad lijk tho; and alle that tristen in tho.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 The hous of Israel, blesse ye the Lord; the hous of Aaron, blesse ye the Lord.
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 The hous of Leuy, blesse ye the Lord; ye that dreden the Lord, `blesse ye the Lord.
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Blessid be the Lord of Syon; that dwellith in Jerusalem.
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.

< Psalms 135 >