< 2 Chronicles 19 >
1 Forsothe Josaphat, kyng of Juda, turnede ayen pesibli in to his hows in to Jerusalem.
Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
2 Whom the profete Hieu, the sone of Ananye, mette, and seide to hym, Thou yyuest help to a wickid man, and thou art ioyned bi frendschip to hem that haten the Lord; and therfor sotheli thou deseruedist the wraththe of the Lord;
Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
3 but good werkis ben foundyn in thee, for thou didist awey wodis fro the lond of Juda, and thou hast maad redi thin herte, for to seke the Lord God of thi fadris.
Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
4 Therfor Josaphat dwellide in Jerusalem; and eft he yede out to the puple fro Bersabee til to the hil of Effraym, and he clepide hem ayen to the Lord God of her fadris.
Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
5 And he ordeynede iugis of the lond in alle the strengthid citees of Juda, bi ech place.
Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
6 And he comaundide to the iugis, and seide, Se ye, what ye doen; for ye vsen not the doom of man, but of the Lord; and what euere thing ye demen, schal turne `in to you;
Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
7 the drede of the Lord be with you, and do ye alle thingis with diligence; for anentis `youre Lord God is no wickidnesse, nether takynge of persoones, nether coueitise of yiftis.
Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
8 Also in Jerusalem Josaphat ordeynede dekenes, and preestis, and the princes of meynees of Israel, that thei schulden deme the doom and cause of the Lord to the dwellers of it.
Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
9 And he comaundide to hem, and seide, Thus ye schulen do in the drede of the Lord, feithfuli and in perfite herte.
Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
10 Ech cause that cometh to you of youre britheren, that dwellen in her citees, bitwixe kynrede and kynrede, where euere is questioun of the lawe, of `the comaundement, of cerymonyes, `ether sacrifices, of iustifyingis, schewe ye to hem, that thei do not synne ayens the Lord, and that wraththe com not on you and on youre britheren. Therfor ye doynge thus schulen not do synne.
Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
11 Forsothe Amarie, youre preest and bischop, schal be souereyn in these thingis, that perteynen to God. Sotheli Zabadie, the sone of Ismael, which is duyk in the hows of Juda, schal be on tho werkis that perteynen to the office of the kyng, and ye han maistris dekenes bifor you; be ye coumfortid, and do ye diligentli, and the Lord schal be with you in goodis.
Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”