< Psalmi 72 >

1 Salomonov. Bože, sud svoj daj kralju i svoju pravdu sinu kraljevu.
Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
2 Nek' puku tvojem sudi pravedno, siromasima po pravici!
Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
3 Nek' bregovi narodu urode mirom, a brežuljci pravdom.
Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
4 Sudit će pravo ubogim pučanima, djeci siromaha donijet će spasenje, a tlačitelja on će smrviti.
Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
5 I živjet će dugo kao sunce i kao mjesec u sva pokoljenja.
Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
6 Sići će kao rosa na travu, kao kiša što natapa zemlju!
Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
7 U danima njegovim cvjetat će pravda i mir velik - sve dok bude mjeseca.
Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8 I vladat će od mora do mora i od Rijeke do granica svijeta.
Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9 Dušmani će njegovi preda nj kleknuti i protivnici lizati prašinu.
Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10 Kraljevi Taršiša i otoka nosit će dare, vladari od Arabije i Sabe danak donositi.
Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11 Klanjat će mu se svi vladari, svi će mu narodi služiti.
Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
12 On će spasiti siromaha koji uzdiše, nevoljnika koji pomoćnika nema;
Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
13 smilovat će se ubogu i siromahu i spasit će život nevoljniku:
Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
14 oslobodit će ih nepravde i nasilja, jer je dragocjena u njegovim očima krv njihova.
Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
15 Stog' neka živi! Neka ga daruju zlatom iz Arabije, nek' mole za njega svagda i neka ga blagoslivljaju!
Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
16 Nek' bude izobila žita u zemlji, po vrhuncima klasje neka šušti k'o Libanon! I cvjetali stanovnici gradova kao trava na livadi.
Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
17 Bilo ime njegovo blagoslovljeno dovijeka! Dok je sunca, živjelo mu ime! Njim se blagoslivljala sva plemena zemlje, svi narodi nazivali blaženima!
Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
18 Blagoslovljen Jahve, Bog Izraelov, koji jedini tvori čudesa!
Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
19 I blagoslovljeno slavno mu ime dovijeka! Sva se zemlja napunila slave njegove! Tako neka bude. Amen!
Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
20 Time se završavaju molitve Jišajeva sina Davida.
Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu

< Psalmi 72 >