< Psalmi 114 >

1 Aleluja! Kad izađe Izrael iz Egipta i kuća Jakovljeva iz naroda barbarskog,
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Judeja mu posta svetište, a Izrael kraljevstvo njegovo.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 Vidje more i uzmače, a Jordan ustuknu.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 Bregovi skakahu poput ovnova i brežuljci poput jaganjaca.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 Što ti je, more, da uzmičeš? Jordane, zašto natrag okrećeš?
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 Bregovi, zašto skačete poput ovnova i vi, brežuljci, poput jaganjaca?
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 Dršći, zemljo, pred licem Gospodnjim, pred licem Boga Jakovljeva.
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 On hrid pretvara u slap vodeni i stijenu u izvor vode.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

< Psalmi 114 >