< Jošua 18 >
1 Sabrala se zajednica sinova Izraelovih u Šilo, i ondje razapeše Šator sastanka. Sva im se zemlja pokorila.
Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,
2 Ali ostade među sinovima Izraelovim još sedam plemena koja nisu primila svoje baštine.
lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.
3 Tada im reče Jošua: “Dokle ćete oklijevati da pođete i zaposjednete zemlju koju vam je dao Jahve, Bog vaših otaca?
Hivyo Yoshua akawaambia Waisraeli, “Je, mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?
4 Izaberite po tri čovjeka iz svakoga plemena, a ja ću ih poslati da popišu svu zemlju za diobu. Kad se vrate k meni,
Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi na kuniandikia mapendekezo ya mgawanyo wa urithi wa kila kabila. Nao watanirudia.
5 razdijelit ću zemlju na sedam dijelova. Neka Juda ostane na svome području na jugu, a Josipov dom neka ostane u svome kraju na sjeveru.
Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa kaskazini.
6 A vi raspišite zemlju na sedam dijelova i donesite mi amo da bacim ždrijeb za vas ovdje pred Jahvom, Bogom našim.
Baada ya kuandika maelezo ya hizo sehemu saba za nchi, yaleteni kwangu, nami nitawapigia kura kwa kura mbele za Bwana Mungu wetu.
7 Leviti neće imati dijela među vama jer je svećeništvo Jahvino njihova baština; a Gad, Ruben i polovina plemena Manašeova primili su svoju baštinu na istočnoj strani Jordana - onu koju im je dao Mojsije, sluga Jahvin.”
Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa Bwana ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa Bwana aliwapa.”
8 Spreme se ti ljudi na put, a Jošua zapovjedi onima koji su pošli popisati zemlju: “Idite i obiđite svu zemlju i opišite je, pa se onda vratite k meni da bacim ždrijeb ovdje pred Jahvom u Šilu.”
Watu hao walipokuwa wanaondoka kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo nchi na mwandike maelezo kuihusu. Kisha mrudi kwangu, nami nitawapigia kura hapa Shilo mbele za Bwana.”
9 Odoše oni ljudi, prođoše zemljom i u knjigu popisaše sve gradove u sedam dijelova, pa se vratiše k Jošui u tabor u Šilu.
Ndipo hao watu walipoondoka na kupita katika ile nchi. Wakaandika maelezo yake kwenye kitabu, mji kwa mji, katika sehemu saba na kurudisha taarifa kwa Yoshua huko kambini Shilo.
10 A Jošua baci za njih ždrijeb u Šilu pred Jahvom i ondje razdijeli Jošua zemlju sinovima Izraelovim po njihovim dijelovima plemenskim.
Basi Yoshua akawapigia kura huko Shilo mbele za Bwana, na hapo akagawanya ile nchi kwa Waisraeli kufuatana na mgawanyo wa kabila zao.
11 I pade ždrijeb na pleme sinova Benjaminovih po njihovim porodicama: utvrdi se da je njihov dio između dijela sinova Judinih i sinova Josipovih.
Kura iliangukia kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo. Eneo lao walilogawiwa lilikuwa kati ya kabila la Yuda na la Yosefu.
12 Sjeverna im se međa protezala od Jordana te išla uza sjeverni obronak Jerihona, uspinjala se sa zapada na goru i završavala se u pustinji Bet-Avenu.
Upande wa kaskazini mpaka wao ulianzia pale Yordani, kupitia kaskazini ya mteremko wa Yeriko na kuendelea magharibi kuingia katika nchi ya vilima, ukitokea kwenye jangwa la Beth-Aveni.
13 Odatle je išla k Luzu, k južnom obronku Luza, to jest Betela; spuštala se zatim u Atrot-Adar, kraj brda koje je južno od Donjeg Bet-Horona.
Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.
14 Međa se dalje savijala i okretala sa zapada prema jugu, od gore koja se diže nasuprot Bet-Horonu s juga, i svršavala se kod Kirjat Baala, danas Kirjat Jearima, grada sinova Judinih. To je zapadna strana.
Kutoka kilima kinachotazamana na Beth-Horoni upande wa kusini mpaka ule ukazunguka kusini kufuatia upande wa magharibi, na ukatokezea Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu), mji wa watu wa Yuda. Huu ndio uliokuwa upande wa magharibi.
15 Južna se strana počinjala od granice Kirjat Jearima, pa se pružala na zapad k vrelu Neftoahu;
Upande wa kusini mpaka ulianzia kwenye viunga vya Kiriath-Yearimu kwa upande wa magharibi, nao ukatokeza kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa.
16 potom se spuštala međa do kraja gore koja je prema dolini Ben-Hinomu, na sjeveru refaimske nizine, silazila zatim u dolinu Hinom uz Jebusejski obronak i dosegla do izvora Rogela.
Mpaka ukateremka hadi shefela inayotazamana na Bonde la Ben-Hinomu, kaskazini mwa Bonde la Refaimu. Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu sambamba na mteremko wa kusini mwa mji mkubwa wa Wayebusi na kisha hadi En-Rogeli.
17 Zatim se savijala od sjevera te izlazila na En-Šemeš i doticala Gelilot, koji se diže prema Adumimskom usponu, i silazila na Kamen Bohana, sina Rubenova.
Kisha ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi, inayotazamana na Njia ya Adumimu, ukateremka hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
18 Prolazila je zatim obronkom sa sjeverne strane prema Bet-Haarabi i silazila do Arabe.
Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.
19 Dalje je tekla međa uz obronak Bet-Hogle prema sjeveru i svršavala se na sjevernom Jeziku Slanog mora, do južnog kraja Jordana. To je južna međa.
Kisha ukaenda mpaka kwenye mteremko wa kaskazini wa Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye maingilio ya Yordani upande wa kusini. Huo ulikuwa mpaka wa kusini.
20 Jordan je pak bio međa s istočne strane. To je baština sinova Benjaminovih, s njihovim međama unaokolo po porodicama njihovim.
Nayo Yordani ikawa ndio mpaka wa upande wa mashariki. Hii ilikuwa ndiyo mipaka iliyoonyesha urithi wa koo za Benyamini pande zote.
21 Gradovi plemena sinova Benjaminovih po porodicama njihovim jesu: Jerihon, Bet-Hogla, Emek Kesis;
Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,
22 Bet-Haaraba, Samarajim, Betel;
Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,
24 Kefar Haamona, Ofni i Gaba: dvanaest gradova s njihovim selima.
Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Gibeoni, Rama na Beerothi,
27 Rekem, Jirpeel, Tarala;
Rekemu, Irpeeli, Tarala,
28 Sela Haelef, Jebus (to je Jeruzalem), Gibat i Kirjat: četrnaest gradova s njihovim selima. To je baština sinova Benjaminovih po porodicama njihovim.
Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.