< Job 38 >

1 Nato Jahve odgovori Jobu iz oluje i reče:
Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
2 “Tko je taj koji riječima bezumnim zamračuje božanski promisao?
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3 Bokove svoje opaši k'o junak: ja ću te pitat', a ti me pouči.
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
4 Gdje si bio kad zemlju utemeljih? Kazuj, ako ti je znanje sigurno.
“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
5 Znaš li tko joj je mjere odredio i nad njom uže mjerničko napeo?
Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
6 Na čemu joj počivaju temelji? Tko joj postavi kamen ugaoni
Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
7 dok su klicale zvijezde jutarnje i Božji uzvikivali dvorjani?
wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
8 Tko li zatvori more vratnicama kad je navrlo iz krila majčina;
“Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
9 kad ga oblakom k'o haljom odjenuh i k'o pelenam' ovih maglom gustom;
nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
10 kad sam njegovu odredio među, vrata stavio sa prijevornicama?
nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
11 Dotle, ne dalje, rekao sam njemu, tu nek' se lomi ponos tvog valovlja!
niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
12 Zar si ikad zapovjedio jutru, zar si kazao zori mjesto njeno,
“Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
13 da poduhvati zemlju za rubove i da iz nje sve bezbožnike strese;
yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
14 da je pretvori u glinu pečatnu i oboji je k'o kakvu haljinu.
Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
15 Ona uzima svjetlost zlikovcima i pesnicu im lomi uzdignutu.
Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
16 Zar si ti prodro do izvora morskih, po dnu bezdana zar si kad hodio?
“Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
17 Zar su ti vrata smrti pokazali; vidje li dveri kraja mrtvih sjena?
Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
18 Zar si prostranstvo zemlje uočio? Govori, ako ti je znano sve to.
Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
19 Koji putovi u dom svjetla vode, na kojem mjestu prebivaju tmine,
“Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
20 da ih odvedeš u njine krajeve, da im put k stanu njihovu pokažeš?
Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
21 Ti znadeš to, tÓa davno ti se rodi, tvojih dana broj veoma je velik!
Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
22 Zar si stigao do riznica snijega i zar si tuče spremišta vidio
“Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
23 što ih pričuvah za dane nevolje, za vrijeme boja krvava i rata?
ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
24 Kojim li se putem dijeli munja kada iskre po svoj zemlji prosipa?
Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
25 Tko li je jaz iskopao povodnju, tko prokrčio pute grmljavini
Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
26 da bi daždjelo na kraj nenastanjen, na pustinju gdje žive duše nema,
ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
27 da bi neplodnu napojio pustoš, da bi u stepi trava izniknula?
ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
28 Ima li kiša svoga roditelja? Tko je taj koji kapi rose rađa?
Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
29 Iz čijeg li mraz izlazi krila, tko slanu stvara što s nebesa pada?
Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
30 Kako čvrsnu vode poput kamena i led se hvata površja bezdana?
wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
31 Možeš li lancem vezati Vlašiće i razdriješiti spone Orionu,
“Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
32 u pravo vrijeme izvesti Danicu, vodit' Medvjeda s njegovim mladima?
Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
33 Zar poznaješ ti zakone nebeske pa da njima moć na zemlji dodijeliš?
Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
34 Zar doviknuti možeš oblacima pa da pljuskovi tebe poslušaju?
“Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
35 Zar na zapovijed tvoju munje lijeću i tebi zar se odazivlju: 'Evo nas'?
Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
36 Tko je mudrost darovao ibisu, tko li je pamet ulio u pijetla?
Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
37 Tko to mudro prebrojava oblake i tko nebeske izlijeva mjehove
Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
38 dok se zemlja u tijesto ne zgusne i dok se grude njezine ne slijepe?
wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
39 Zar ćeš ti plijen uloviti lavici ili ćeš glad utažit' lavićima
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40 na leglu svojem dok gladni čekaju i vrebaju na žrtvu iz zaklona?
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41 Tko hranu gavranovima pribavlja kad Bogu ptići njegovi cijuču i naokolo oblijeću bez hrane?
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?

< Job 38 >