< Tingtoeng 80 >
1 Olphong Tuilipai aka mawt ham Asaph kah Tingtoenglung Israel aka dawn loh hnatun lah. Boiva bangla Joseph aka hmaithawn tih cherubim aka ngol loh ha sae lah.
Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
2 Ephraim, Benjamin neh Manasseh mikhmuh ah na thayung thamal te huel lamtah, kaimih kah khangnah ham halo lah.
Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3 Pathen aw kaimih nan lat tih, na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4 Caempuei Pathen BOEIPA me hil nim, na pilnam kah thangthuinah te na khuu thil eh?
Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5 Amih te mikphi buh na cah tih baelpuei mikphi na tul.
Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6 Ka imben rhoek ham olpungkacan la kaimih nan khueh tih ka thunkha rhoek loh n'tamdaeng uh.
Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7 Caempuei Pathen aw kaimih nan lat tih na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8 Egypt lamkah nang khuen misur te namtom na haek phoeiah na phung.
Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
9 A mikhmuh ah hmuen na saelh pah tih a yung a hlak dongah khohmuen ah baetawt.
Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
10 A hlip loh tlang tom a dah tih a hlaeng loh lamphai thingnu a yam thil.
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
11 A pae loh tuitunli duela, a dawn long khaw tuiva duela a voeih.
Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
12 A vongtung te a ba ham nim na phae tih long kah aka pongpa boeih loh a bit uh?
Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
13 Duup lamkah okngal loh a thoe tih kohong kah satlung loh a luem thil.
Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
14 Caempuei Pathen aw, ha mael laeh. Misur he vaan lamloh paelki lah, so lamtah hip lah.
Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
15 Na bantang kut neh a yung te na phung tih namah ham a ca na hlul sak.
Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
16 Hmai neh a hoeh tih a vung. Na mikhmuh kah tluungnah dongah milh uh.
Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
17 Na bantang hlang so neh namah ham na thoh hlang capa soah na kut tloeng lah.
Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
18 Te daengah ni nang taeng lamkah ka balkhong uh pawt eh. Kaimih he nan hlun daengah ni na ming te kang khue uh eh.
Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
19 Caempuei Pathen Yahweh kaimih nan lat tih na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.